Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

Kasinde umeona sasa kile nilichokua nasema? Huyu bhana KTK swala la kupenda hana mchezo kabisa! Rejea kauli Yangu hapo nyuma Nilikwambia Usiseme sn atafanya kila Hali akutoe kwa Tized

Hapana bana, mbona naona Mr. Rocky yuko na wake wawili awapendao na wako hapa wanakaba kila kona, najua hawezi mfanyia ubaya ndugu yake Tized kwa kumtenga na Kasinde looh
 
Ngoja nianze mazoezi na gym niende kabisa maana nasikia harufu ya kupiga mtu ngumi za reception hapa miss chagga hizi whisky unazoomba kwani zile ninazokununulia na kukupa pesa za kununua hakzikutoshi
ona sasa unavyombondaga miss chagga!

by the way, hivi unajua new version ya american whisky yoyote?
 
Last edited by a moderator:
Labda uwe umeandikiwa na dakrari upumzike kiafya au umevunjika back born... vinginevyo!!! Big No najua una nyota ya ng'e kaka.


Nawe umeshikwa pabaya eeh!!!! Khantwe mumeo naumuona sana viwanja siku hizi.. kwani kakuaga amesafiri???


Karibu sana, Ndio uswahilini kwetu humu.


Yap nyie ni wakarimu sana. Tulimuona pia tule mbunge wenu Bw Machemli akimkarimu binti flani hivi jina kapuni. Ndio maana hata kaka yako Ntuzu pamoja na Khantwe kujitolea ivyo bado jamaa linatembea macho juu juu tu apa mjini!


Wakikamatwa utawajua tu... eti nlikua napima!! SI unit ni nini?


Asalalalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! miss chagga !!!!!! Hapo ndipo pabayaaaaaaa!!!!


Huyu mdogo wake machemli uwe naye makini mkuu!!!

Hahahahahaaa Tized umenifanya nicheke kama chizi...SI Unit ya nini?
 
Last edited by a moderator:
You are very brave my dear Kasinde!!!!!

Sasa apo utamsikia Oohhh ofa ni ya mtu mmoja tu ohhh sijui nini nini? Ukarimu gani uko sasa Excel unataka tu wadada waje? Mbona mie jamaako wa karibu kabisa hata karibu ya kuzugia amna!!!! Looooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kaka mkubwa hii ni personal invitation! kuna kamkataba nataka Kasinde awekepo kakidole kake bhana! ikiwezekana asaign kwa lipsi kabisa! lol.
she will be safe,,, dont worry!
 
Last edited by a moderator:
Kaka wewe tena, nakuamini sana hasa mambo ya hela... Hata Nikukupa Millioni 200 najua zitafika salama, ila nikupe shemejio uongozane nae tu!!!! THUBUTU!!!!!!!!!!!

(Sina maana hioooooo!!!!)

Hahahahahaaaaaaa Mr. Rocky wewe ni wale wa nyumbi hii bombi hii
 
Labda uwe umeandikiwa na dakrari upumzike kiafya au umevunjika back born... vinginevyo!!! Big No najua una nyota ya ng'e kaka.


Nawe umeshikwa pabaya eeh!!!! Khantwe mumeo naumuona sana viwanja siku hizi.. kwani kakuaga amesafiri???


Karibu sana, Ndio uswahilini kwetu humu.


Yap nyie ni wakarimu sana. Tulimuona pia tule mbunge wenu Bw Machemli akimkarimu binti flani hivi jina kapuni. Ndio maana hata kaka yako Ntuzu pamoja na Khantwe kujitolea ivyo bado jamaa linatembea macho juu juu tu apa mjini!


Wakikamatwa utawajua tu... eti nlikua napima!! SI unit ni nini?


Asalalalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! miss chagga !!!!!! Hapo ndipo pabayaaaaaaa!!!!


Huyu mdogo wake machemli uwe naye makini mkuu!!!

Mtuache tulale
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh!!yangu macho tu ukifilisiwa mie nakopesha mkopo usio na riba usisite kunitafuta

Hawezi nifilisi
Hivi unajua hakuna kinachotoka kwa mganga bure bure
Nampa hivyo kwa kuwa ameshaweka hati yao ya shamba na nyumba kwangu so nikiona mambo yamekuwa magumu nauza faster

Hapana bana, mbona naona Mr. Rocky yuko na wake wawili awapendao na wako hapa wanakaba kila kona, najua hawezi mfanyia ubaya ndugu yake Tized kwa kumtenga na Kasinde looh
Kasinde ushaona swala dume porini anashindwa kuwasiliana na group lake la majike aliyo nayo hapo jua hata kama wapo kumi humu sishindwi kufanya mambo aise

ona sasa unavyombondaga miss chagga!

by the way, hivi unajua new version ya american whisky yoyote?
Excel huwa miss chagga anapewa haki yake tuu na wala habondwi wala kupigwa
Akishikwa sehem zake maalum analainika kama mlenda

Aiseee Mr Rocky Naona ntajifunza shabaha Leo kwako na ile Milimita 9 Yangu! Kaa mbali na Khantwe wangu aisee!

Ntuzu si umeambiwa usipite huku kuna kitu kinaendelea sasa wewe umekuja kufanya nini unaharibu hali ya hewa ghafla

Tized niamini ndugu yangu nimefunga na funguo na nimezitumbukiza baharini usiwe na shida kabisa
 
Last edited by a moderator:
come on miss! ntakupa zile sweet noise! noise za kukufanya upagawe!

em kwanza niambie nije na mitungi mingapi ya whisky?

cheki hii sample..
Yamazaki-50-Year-Old-Japans-Most-Expensive-Single-Malt-21.jpg


its very refeshing... ukiwa na mimi, sahau shida mamii!

Sipendi ya rangi nyekundu pili njoo na mitungi kumi ya whisky tutakaa siku tatu pamoja
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Ntuzu ndo analeta ukorofi hapa kwa kutaka kukugombanisha wewe na ndugu yako Tized kumbe ni janja yake ya kunivuruga mie na Tized, asante kwa kumstukia mapema


Umeona ehhh Ntuzu ni mharibifu sana na anaharibu mambo ya watu wakati watu wametulia wanaendelea na mipango yao
 
Last edited by a moderator:
Asante wacha nione kama Tized akakubali basi tutakuja wote kukutembelea.........

kuna free way nataka nikuoneshe ambayo Tized hatoistukia..!

Just stay back and wait...!

anza kabisa kuandaa begi ya nguo kwa safari..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom