Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Najua Tized hawezi nidanganya, atakachoniambia kuhusu wewe ntamuamini ila akinikataza kuja kukusalimia wakati yeye hayupo ntamtii tuu Tized siwezi kumkaidi.
sasa tukipandisha mori za whisky tunamalizana hadharani hunie? lol..ndiyo baby nataka wanione
Najua Tized hawezi nidanganya, atakachoniambia kuhusu wewe ntamuamini ila akinikataza kuja kukusalimia wakati yeye hayupo ntamtii tuu Tized siwezi kumkaidi.
sasa tukipandisha mori za whisky tunamalizana hadharani hunie? lol..
Be careful young lady
sasa tukipandisha mori za whisky tunamalizana hadharani hunie? lol..
Hawezi nifilisi
Hivi unajua hakuna kinachotoka kwa mganga bure bure
Nampa hivyo kwa kuwa ameshaweka hati yao ya shamba na nyumba kwangu so nikiona mambo yamekuwa magumu nauza faster Kasinde ushaona swala dume porini anashindwa kuwasiliana na group lake la majike aliyo nayo hapo jua hata kama wapo kumi humu sishindwi kufanya mambo aise
Excel huwa miss chagga anapewa haki yake tuu na wala habondwi wala kupigwa
Akishikwa sehem zake maalum analainika kama mlenda
Ntuzu si umeambiwa usipite huku kuna kitu kinaendelea sasa wewe umekuja kufanya nini unaharibu hali ya hewa ghafla
Tized niamini ndugu yangu nimefunga na funguo na nimezitumbukiza baharini usiwe na shida kabisa
Hahahahahaaaaaaa Mr. Rocky wewe ni wale wa nyumbi hii bombi hii
Ntuzu macho juu juu mno. anataka kumchomoa Mr Rocky then ahamie kunichomoa mimi akupate kirahisi. hizi ni mbinu za miaka ya 47 kaka.Umesahau??!! basi ntakunong'oneza sikioni
Excel nilishaona muelekeo wako zamaaniiiii!!!!! naufahamu sana ukarimu wenu. Appl. rejected na imepigwa huri wa motoKumbe Ntuzu ndo analeta ukorofi hapa kwa kutaka kukugombanisha wewe na ndugu yako Tized kumbe ni janja yake ya kunivuruga mie na Tized, asante kwa kumstukia mapema
kaka mkubwa hii ni personal invitation! kuna kamkataba nataka Kasinde awekepo kakidole kake bhana! ikiwezekana asaign kwa lipsi kabisa! lol.
she will be safe,,, dont worry!
Hahahahahaaa Tized umenifanya nicheke kama chizi...SI Unit ya nini?
Khantwe usimsikilize huyu bhana
Kiwategu Uko wapi mkulu? Yani tangu wakatae posa yako wazazi Wa shansarie na wewe umekosa Amani!
Weka begani usepe neya na Mkuu!
Mokoyo acha na wewe kila wakati kukaa na mkeo ICHANA wewe Hujui Chakula kizuri mule wengi?
miss chagga penda Mie weye! Dah! Asiione Khantwe hii!
Hivi miss chagga huyu ni nani mbona hunie na dia zimezidi au huyu ni kaka yako yule wa Dubai anayeuza magari
Wadanganye tu hao hao kaka.
Komba wa ToT ni ndugu yake!!
Waiting PM yako dearest!!!!!!
Ntuzu macho juu juu mno. anataka kumchomoa Mr Rocky then ahamie kunichomoa mimi akupate kirahisi. hizi ni mbinu za miaka ya 47 kaka.
Excel nilishaona muelekeo wako zamaaniiiii!!!!! naufahamu sana ukarimu wenu. Appl. rejected na imepigwa huri wa moto
Hahahaaaa!! Kukamatwa Ntuzu anajidai alikua anapima tu... Ndio atuambie SI UNIT ya mtongozo ni nini tujue lile saundi alikua anamtupia dearest wangu Kasinde ni laghaishi au ni saundi pimishi tu!!!!!
Mzuka ukipanda mimi nashuka
nakusubiri juu ya jiwe ujue! sio kila siku tunapanda maghorofa mamii!..
em kwanza tuburudike hunie! maneno makavu hayaangushi mbuyu unajua!
sikudhani kama ungekuwa sexy leo kuliko jana! dah! i'm impressed kwa kweli..
Ndio tunakuandalia tego hivyo!!! jidai tu ameshakubali.. nakuona siku si nyingi ukitupambia kurasa za mbele za magazeti yetu ya udaku.