Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

Khantwe usimsikilize huyu bhana

Kiwategu Uko wapi mkulu? Yani tangu wakatae posa yako wazazi Wa shansarie na wewe umekosa Amani!

Weka begani usepe neya na Mkuu!

Mokoyo acha na wewe kila wakati kukaa na mkeo ICHANA wewe Hujui Chakula kizuri mule wengi?

miss chagga penda Mie weye! Dah! Asiione Khantwe hii!
Ntuzu mkuki ukirudi kwako usilalamike hapo kwa miss chagga acha kabisa
Halafu Excel ameingia humu hali ya hewa imebadilika nasikia harusu harufu ya usaliti humu
 
Last edited by a moderator:
yeah! that sound so sweet pretty lady! nichukue na special concetration area kabisa!

na haka kajua, itakuwa ni furaha yangu kukunywesha whisky!..


Ngoja nianze mazoezi na gym niende kabisa maana nasikia harufu ya kupiga mtu ngumi za reception hapa miss chagga hizi whisky unazoomba kwani zile ninazokununulia na kukupa pesa za kununua hakzikutoshi
 
Last edited by a moderator:
yeah! that sound so sweet pretty lady! nichukue na special concetration area kabisa!

na haka kajua, itakuwa ni furaha yangu kukunywesha whisky!..

lo nataka kusikia kelele sasa sijui tuende wapi
 
Mi mzima my dia Mr Rocky

Asante sana kama ni mzima dear Khantwe

Mr Rocky baby yani natamani leo unishike kiuno my baby.... Excel anapenda kuchepuka wewe mwache tu

Niko hapa baby wala usiw ena shaka kabisa
Nitashika na kukupa haki yako ya mtima wa moyo wako usahau kama Excel na Ntuzu wapo duniani

unapoandika ujumbe kwa mume wangu Mr Rocky maneno kama dear, dia , honey, sweety, asali , naomba uondoe katika mlolongo wa sentensi zako ... ila kama unataka vita endelea....umesikia Khantwe

Hebu mwambie Khantwe maana naona dia dia siku hizi zinaongezeka snaa
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kama ni mzima dear Khantwe



Niko hapa baby wala usiw ena shaka kabisa
Nitashika na kukupa haki yako ya mtima wa moyo wako usahau kama Excel na Ntuzu wapo duniani



Hebu mwambie Khantwe maana naona dia dia siku hizi zinaongezeka snaa

bora umwambie Khantwe kiukweli nitamwaga damu hapa mtu akikugusa na jinsi ninahamu ya wewe leo ndiyo balaa ... usisahahu kuja na ile milioni 3 za shoping
 
Last edited by a moderator:
Swty! Nilikua napima Gia zangu km zinaweza kumteka Kasinde

Mimi niko na wewe tu honey wangu! Hayo yalikua majaribio ya Gia za kung'oa mzigo!

Ulishanipata mimi gia za nini tena
 
Last edited by a moderator:
Karibia na huku mamii, its much luxurious like Dar to the big extent..

make a trip in one of your holidays mamii.. you will enjoy much!

Asante wacha nione kama Tized akakubali basi tutakuja wote kukutembelea.........
 
Labda uwe umeandikiwa na dakrari upumzike kiafya au umevunjika back born... vinginevyo!!! Big No najua una nyota ya ng'e kaka.
Mkuu Tized hata shem atafika salama salimini niamini tuu
Maana kufika kwake salama ni kuwa atafika salama kimwili bila ajali ila yale mengine sijui kama atafika salama bila kufanyiwa ukaguzi

Nawe umeshikwa pabaya eeh!!!! Khantwe mumeo naumuona sana viwanja siku hizi.. kwani kakuaga amesafiri???
Khantwe usimsikilize huyu bhana

Kiwategu Uko wapi mkulu? Yani tangu wakatae posa yako wazazi Wa shansarie na wewe umekosa Amani!

Weka begani usepe neya na Mkuu!

Mokoyo acha na wewe kila wakati kukaa na mkeo ICHANA wewe Hujui Chakula kizuri mule wengi?

miss chagga penda Mie weye! Dah! Asiione Khantwe hii!

Karibu sana, Ndio uswahilini kwetu humu.
Mmmmh sijui kwa nini nimepita mitaa hii loh

Yap nyie ni wakarimu sana. Tulimuona pia tule mbunge wenu Bw Machemli akimkarimu binti flani hivi jina kapuni. Ndio maana hata kaka yako Ntuzu pamoja na Khantwe kujitolea ivyo bado jamaa linatembea macho juu juu tu apa mjini!
hahahaaa! come on meen! sie watu wa kanda ya ziwa ni wakarimu saaana! mwache Kasinde aje aburudishwe na upepo wa ziwa!... sisi hatuna congestion kama yenu huko! lol.

Wakikamatwa utawajua tu... eti nlikua napima!! SI unit ni nini?
Swty! Nilikua napima Gia zangu km zinaweza kumteka Kasinde

Mimi niko na wewe tu honey wangu! Hayo yalikua majaribio ya Gia za kung'oa mzigo!

Asalalalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! miss chagga !!!!!! Hapo ndipo pabayaaaaaaa!!!!
Mr Rocky baby yani natamani leo unishike kiuno my baby.... Excel anapenda kuchepuka wewe mwache tu

Huyu mdogo wake machemli uwe naye makini mkuu!!!
Ntuzu mkuki ukirudi kwako usilalamike hapo kwa miss chagga acha kabisa
Halafu Excel ameingia humu hali ya hewa imebadilika nasikia harusu harufu ya usaliti humu
 
Last edited by a moderator:
lo nataka kusikia kelele sasa sijui tuende wapi

come on miss! ntakupa zile sweet noise! noise za kukufanya upagawe!

em kwanza niambie nije na mitungi mingapi ya whisky?

cheki hii sample..
Yamazaki-50-Year-Old-Japans-Most-Expensive-Single-Malt-21.jpg


its very refeshing... ukiwa na mimi, sahau shida mamii!
 
Last edited by a moderator:
You are very brave my dear Kasinde!!!!!

Sasa apo utamsikia Oohhh ofa ni ya mtu mmoja tu ohhh sijui nini nini? Ukarimu gani uko sasa Excel unataka tu wadada waje? Mbona mie jamaako wa karibu kabisa hata karibu ya kuzugia amna!!!! Looooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Asante wacha nione kama Tized akakubali basi tutakuja wote kukutembelea.........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom