Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

Hahahaaaa.... Mkuu siku hizi hela ukiwa na hela hata kama uko under 18 utasikia ''MZEE TIZED'' Ukimbao mbao ndio habari ya mujini... hahahahaaa

Mkuu sibanduki apo... nimejishikisha na supa GLUU. Ukizingatia yeye ana nyama kidogo tunamatch sana. Wewe kwa kuwa ni ndugu yangu unaruhusiwa kula kwa macho tu (kitu kizuri kula na ndugu yako, kibaya mpe Mbwa)

Uko peke yako sweetheart!!!!! nimekaa jangwani kwenye ukame muda sana, at least wewe umejitokeza walau unidondoshee tone moja kuuburudisha ulimi wangu!!!!! With me you are prudently secured.

My dear upendo wako ulivyo juu mbona ntanona mie? nshachekwa sana kamwili hako sijui nini nini? wewe kunenepa ni sawa la barabara ya lami kuota majani etc etc. Njoo nijiburudikie mieee walahiiiii!!!

shindwa na ulegee mshana jr

huyu jamaa anapenda vitu vizuri ale tu yeye... Naye ashindwe na kulegea

hahahahaha nasikia iko kinachoning'inia ndio kinachopoozaga vizuri. na wadada wanavipenda maana ni multipurpose... anaweza kutumia kama mto pia (pillow)

Comfirmed!!!!

, Huyu jamaa hela zimemfanya aitwe mzee bado ni mbichi sana kama Excel

hahahahaaaa... umeniacha sana hoi eti unawahurumia wajawazito....kama wazee wa enzi zetu wenye vitambi.... inhiinhiiii... ngoja waje!!!!!

Kifriza changu kwa kitaalamu huitwa ''SIX PACKS'' hahahahhaahaaaaa....
Yeahhhh a bit innocent... ngoja aje mzee wa fujo uone anavyoleta za kuleta apa cc Mr Rocky

Tized week ijayo utaenda Moro?
 
Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that
 
Last edited by a moderator:
Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that

aisee mkuu kumbe uko?
Tized aliniambia uko Sudan kusini? ni kweli hivi? lol.
 
Last edited by a moderator:
Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that
nakupenda kwa unajielewa
 
aisee mkuu kumbe uko?
Tized aliniambia uko Sudan kusini? ni kweli hivi? lol.

Halafu wewe nilisikia unamfukuzia mtu wangu mmoja humu ndani ndo maana ulikuwa unauliza uliza sana habari zangu
Nipo mkuu Excel na ndo maana nakaba kila kona mke na mke mdogo wakae sawa
 
Last edited by a moderator:
Nyie watu nyie Ntuzu, Tized, Kasinde wacheni fujo. Kwanza sina kitambi nina kamwili kadogo dogo muulize hata my wife wangu Dena Amsi na mchepuko wangu miss chagga wanavyoufurahia huu mwili
Uko kimazoezi zaidi na hauhitaji kwenda gym kama Ntuzu anavyopambana kuupunguza wa kwake
halafu mi sina fujo namzidi hata Tized kwa upole ila when it comes to love oohh hapo sina upole wowote ready to fight for that



Kasinde umeona sasa kile nilichokua nasema? Huyu bhana KTK swala la kupenda hana mchezo kabisa! Rejea kauli Yangu hapo nyuma Nilikwambia Usiseme sn atafanya kila Hali akutoe kwa Tized
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni Tized mwenye wivu, nawapatiliza hadi wana maovu ya baba zao... tafadhali acha kumchombeza Kasinde wangu ki''lake zone lakezone apa'' Understand muraaa?

Karibia na huku mamii, its much luxurious like Dar to the big extent..

make a trip in one of your holidays mamii.. you will enjoy much!
 
Last edited by a moderator:
Bora mmekuja aisee! Maana huyu Kasinde alikua anachanganyikiwa na anakuonea huruma nikikuita kimbaumbau!


Hahahaaaa!

Hahahaaaa.... Mkuu siku hizi hela ukiwa na hela hata kama uko under 18 utasikia ''MZEE TIZED'' Ukimbao mbao ndio habari ya mujini... hahahahaaa

Mkuu sibanduki apo... nimejishikisha na supa GLUU. Ukizingatia yeye ana nyama kidogo tunamatch sana. Wewe kwa kuwa ni ndugu yangu unaruhusiwa kula kwa macho tu (kitu kizuri kula na ndugu yako, kibaya mpe Mbwa)

Uko peke yako sweetheart!!!!! nimekaa jangwani kwenye ukame muda sana, at least wewe umejitokeza walau unidondoshee tone moja kuuburudisha ulimi wangu!!!!! With me you are prudently secured.

My dear upendo wako ulivyo juu mbona ntanona mie? nshachekwa sana kamwili hako sijui nini nini? wewe kunenepa ni sawa la barabara ya lami kuota majani etc etc. Njoo nijiburudikie mieee walahiiiii!!!

shindwa na ulegee mshana jr

huyu jamaa anapenda vitu vizuri ale tu yeye... Naye ashindwe na kulegea

hahahahaha nasikia iko kinachoning'inia ndio kinachopoozaga vizuri. na wadada wanavipenda maana ni multipurpose... anaweza kutumia kama mto pia (pillow)

Comfirmed!!!!

, Huyu jamaa hela zimemfanya aitwe mzee bado ni mbichi sana kama Excel

hahahahaaaa... umeniacha sana hoi eti unawahurumia wajawazito....kama wazee wa enzi zetu wenye vitambi.... inhiinhiiii... ngoja waje!!!!!

Kifriza changu kwa kitaalamu huitwa ''SIX PACKS'' hahahahhaahaaaaa....
Yeahhhh a bit innocent... ngoja aje mzee wa fujo uone anavyoleta za kuleta apa cc Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Karibia na huku mamii, its much luxurious like Dar to the big extent..

make a trip in one of your holidays mamii.. you will enjoy much!



Amang'ana Mura....!
 
Kasinde umeona sasa kile nilichokua nasema? Huyu bhana KTK swala la kupenda hana mchezo kabisa! Rejea kauli Yangu hapo nyuma Nilikwambia Usiseme sn atafanya kila Hali akutoe kwa Tized


Acha umbea na wewe Ntuzu maana naona hapa unaharibu kwa Kasinde na Tized sasa na utafanya mpaka Tized asinimini mimi ndugu yake
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom