Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

20240121_100129.jpg
 
Naomba nikurekebishe kidogo kipengele A.

Hata kama akikukosea hupaswi kumuongelesha au kumjibu vibaya.
Busara ni kukaa kimya, baada ya muda ndipo kuongea nae kistaarabu kumfahamisha alikuvunjia heshima na hukupenda.

Otherwise, nakubaliana na mawazo yako mengine, na nitazingatia.
Thanks
Wazingatie hayo uliyoyaongeza hapo. Sikupingi

Zingatia usijeshindwana na yule kaka mzuri 😎
 
Back
Top Bottom