Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Nyafwili

JF-Expert Member
Nov 27, 2023
2,775
6,891
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-

|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.

||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,

|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
 
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale , Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-

|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.

||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,

|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
Waambie wasikubali kuolewa na Mwanaume asiye na Upendo wa Kristo Yesu moyoni. Kulipuuza hili ni kucheza kamari mbaya sana kwa mustakabali wa maisha yao!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
 
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale , Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-

|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.

||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,

|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
My only advice to all my daughters and ladies
Screenshot_20240103-183900_WhatsAppBusiness.jpg
 
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-

|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.

||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,

|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
Dunia simama nishuke
 
A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Naomba nikurekebishe kidogo kipengele A.

Hata kama akikukosea hupaswi kumuongelesha au kumjibu vibaya.
Busara ni kukaa kimya, baada ya muda ndipo kuongea nae kistaarabu kumfahamisha alikuvunjia heshima na hukupenda.

Otherwise, nakubaliana na mawazo yako mengine, na nitazingatia.
Thanks
 
A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Kipengele B. Ni Moja ya tatizo kubwa sana, kwenye masuala ya ndoa-familia kwa ujumla.

Asante kwa maelezo hayo, umeleweka vizuri sana,
 
Ni hali ambayo washiriki wa uhusiano wanapata nafasi ya kuwa na utambulisho wao binafsi na kujitambua, huku wakiweza kushiriki maisha pamoja., kwa mfano :-

• Kuheshimu Nafasi Binafsi: Kila mshiriki anapaswa kuthamini na kuheshimu nafasi ya mwenzake. Hii inajumuisha kutoingilia maamuzi binafsi au malengo ya kila mmoja.

• Kutoa Nafasi ya Kujitambua: Kuwezesha mwenzako kufuata malengo yake na kujitambua binafsi bila kujisikia kudhibitiwa.

• Mawasiliano Wazi: Kuwa na mazungumzo wazi kuhusu mahitaji, matarajio, na mipango ya baadaye. Hii husaidia kuzuia misinterpretation na kutoelewana.

• Kuheshimu Hobbies na Marafiki: Kuwezesha mwenzako kushiriki katika shughuli na marafiki wake bila kujisikia kubanwa.

• Kuwa na Imani: Kuaminiana ni msingi muhimu wa uhuru. Kuwa na imani katika mwenzako kunawezesha kutoa nafasi ya uhuru bila wasiwasi wa kutowaamini.

• Kuwajibika: Kila mshiriki anapaswa kujitambua wajibu wake katika uhusiano na kuhakikisha wanafanya sehemu yao katika kuleta usawa.

Uhuru huu unachangia kujenga mazingira yenye afya ndani ya uhusiano, ambapo kila mshiriki anaweza kukua na kuchangia kwa njia yake binafsi.
Naomba kuelimishwa kuhusu uhuru ndani ya uhusiano.
 
Ni hali ambayo washiriki wa uhusiano wanapata nafasi ya kuwa na utambulisho wao binafsi na kujitambua, huku wakiweza kushiriki maisha pamoja., kwa mfano :-

• Kuheshimu Nafasi Binafsi: Kila mshiriki anapaswa kuthamini na kuheshimu nafasi ya mwenzake. Hii inajumuisha kutoingilia maamuzi binafsi au malengo ya kila mmoja.

• Kutoa Nafasi ya Kujitambua: Kuwezesha mwenzako kufuata malengo yake na kujitambua binafsi bila kujisikia kudhibitiwa.

• Mawasiliano Wazi: Kuwa na mazungumzo wazi kuhusu mahitaji, matarajio, na mipango ya baadaye. Hii husaidia kuzuia misinterpretation na kutoelewana.

• Kuheshimu Hobbies na Marafiki: Kuwezesha mwenzako kushiriki katika shughuli na marafiki wake bila kujisikia kubanwa.

• Kuwa na Imani: Kuaminiana ni msingi muhimu wa uhuru. Kuwa na imani katika mwenzako kunawezesha kutoa nafasi ya uhuru bila wasiwasi wa kutowaamini.

• Kuwajibika: Kila mshiriki anapaswa kujitambua wajibu wake katika uhusiano na kuhakikisha wanafanya sehemu yao katika kuleta usawa.

Uhuru huu unachangia kujenga mazingira yenye afya ndani ya uhusiano, ambapo kila mshiriki anaweza kukua na kuchangia kwa njia yake binafsi.
Umeliweka kitaalam sana ila sasa mimi nilivyo na wivu kuna mtihani hapo kwenye hivyo vipengele kiasi.
Nitajitahidi, Asante.
 
Back
Top Bottom