Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

🤒🤒, Hayo hutokea sana kwenye jamii, hasa Akikutana na X mrugaruga, umuhimu wa ndoa huonekana baada ya kuvurunda ndoa. [ ningejua, ningejua, ningejua hutawala idara Zima ya ubongo ]
Hawajifunzi, yupo mmoja mwaka jana alinicheki akanijulisha anaolewa, nikamwambia poa kila la heri, sikuwa na namba zake akaniuliza ina maana namba zangu ulizifuta zanini, nikamwambia kwa afya ya maisha yako ya mahusiano na ndoa sio vyema kuwa na mawasiliano na mimi. Akaendelea kuongea nikamuuliza jamaa yako anajua una mawasiliano na mimi? Akaomba akate simu hana majibu.

Nikajiuliza huyu mtu anajielewa kweli kwa hatua aliyofikia?
 
1. Tendo la ndoa/ngono vina umri , baada ya muda hivyo hua sio vipaumbele Kwa mwanaume (ukiona kaanza kpunguza Hilo Jua kaanza kukua)

2. Nakazia mwanamke kuwa na kitu Cha ziada Kwa mumewe zaidi ya ngono/tendo la ndoa na kama huna hakikisha unasapot movement zake zote in a positive way.



Tendo la ndoa/ngono vina umri , baada ya muda hivyo hua sio vipaumbele Kwa mwanaume (ukiona kaanza kpunguza Hilo Jua kaanza kukua)
Kwa hapa Africa, tunapenda sana minyanduano kuliko kitu chochote kile, ndo maana utakuta wazee kila siku yupo famasi kununua booster ya gobole.


2.Nakazia mwanamke kuwa na kitu Cha ziada Kwa mumewe zaidi ya ngono/tendo la ndoa na kama huna hakikisha unasapot movement zake zote in a positive way.
Kabisa mkuu, ila wanawake Walio wengi tatizo hupenda kusikiliza Ushauri/maneno ya watu, hasa wale ambao hawajaolewa, hicho ndo chazo cha mvurugano wa uhusiano ndani ya nyumba.
 
Hawajifunzi, yupo mmoja mwaka jana alinicheki akanijulisha anaolewa, nikamwambia poa kila la heri, sikuwa na namba zake akaniuliza ina maana namba zangu ulizifuta zanini, nikamwambia kwa afya ya maisha yako ya mahusiano na ndoa sio vyema kuwa na mawasiliano na mimi. Akaendelea kuongea nikamuuliza jamaa yako anajua una mawasiliano na mimi? Akaomba akate simu hana majibu.

Nikajiuliza huyu mtu anajielewa kweli kwa hatua aliyofikia?
Sema hukumuelewa usizunguke 🤣🤣🤣
Au ulijua mumewe mjeda ukayaepusha marinda jirani.!!
Kuna me anakataa mbususu ya bure mfyuu 😂
 
Back
Top Bottom