Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
hahaha kaishiwa michambo chezea copy and paste

Sina muda wa kujibizana na mtu mwenye kichaa cha mimba ilokataliwa...halafu sijachamba mtu...nimesema kweli...
na ukweli unauma ndo ukaandikiwa gazeti....
 
cinema kali halafu asubuhi
yeah wanasema waaarabu wapemba wanajuana kwa vilemba.....jambo usilolijua ni usiku wa giza, ndio maana kuamini habari huku JF mimi siwezi kabsa labda iwe na source ya kueleweka.
 
Punguza basii kimnana mi ni shoga angu ICHANA njoooooo
Mwenyewe kajiona kakua sababu tunanyoa wote, na kapata mtu wa kumsokomeza anjiona tunalingana ananifumba na kutishi kunichamba kubwa la maadui! WHEN A BABY (EVEN A CAT) WASHES ITS HANDS IT CAN DINE WITH THE KINGS! Mwache anyweee alilolikorogaaa! Tatizo kaamini maneno ya MTU MZIMA YOOOOTE! Akona nitakuwa mnyongeee, nitasema nini wakati mafaili yangu yako on display! Kumbe mkanda umetoka kichwani kwa mtu mzimaaa! Apeche alolo hamna hata moja la ukweli! Hahaaaaa! Ndo maana nimem DARE MTU MZIMA TENA MTU MZIMA I DARE YOU NJOO HAPA UMWAGE FAILI ZANGU, si unauhakika vya kweli hujatungaaa? Nyooooooo!

Maneno ya PM msiamini yoteee, wengin psychopath wanatunga vitu na kuwa chuuza!
 
Emotional disturbances may prone you to mental illness at a future time.

Si bure kuna watu wanamatatizo ya akili humu.
People stop guessing and speculating.
Others stop defending yourselves at any cost ikiwa hata kiutetezi wa kistupid stupid.
Mnavuana nguo bila umuhimu wowote.
 
Unayemtaka hayupo,labda um frame wa kwako.
 

Attachments

  • 1409388002591.jpg
    1409388002591.jpg
    54.9 KB · Views: 93
Weeee Kim nana hawezi ishiwa michambo labda anamuheshimu tu lara1 ni dada yakee kwanza si wanataniana tu kwa ni kwelii

Shoga nina ID moja tu mwenzio...nikiimwaga mitusi naogopa ban....halafu utamu wa ban naujuaaa...

Ila leo nimejijua kama nina shabaha....nimetupa jiwe gizani limempata mtu la kifuaa anatapika damu tuuuuu......heheheeeeeee!
 
Last edited by a moderator:
Sina muda wa kujibizana na mtu mwenye kichaa cha mimba ilokataliwa...halafu sijachamba mtu...nimesema kweli...
na ukweli unauma ndo ukaandikiwa gazeti....
Hahaaaaaa! Ukweli gani uliosemaaa? Ona tundu zote zimekubaki wazi unawaya waya maskini ya Mungu! Hahahaaaaaaaaaaaaa! Msamba umekupasuka waaaaaa! Nyooooooo! Shika adabu zako zikushike!
 
Mhhhhhhhhhhhhh! WE KAMA UKO BUSY NA MAMBO YAKO, HIVO VIGENGE UMEVIJUAJE? Na kama wanachukiana hatari WE INAKUHUSU NINI? Chuki wachukiane wao kuweweseka uweweseke wewe inahuuuuuu? Wakijiona bora we unapungukiwa nini? UPIGWE VIJEMBE KWA MTONYO GANI ULIO NAO? Mxiuuuuuuuuu! Usichekeshe walio nuna! Apeche alolo nani akutungie vijembe wakati hujai hata kibaba? Waacha wajione wako right ITS A FREE COUNTRY SINCE 1961! ANZA KUBADILIKA WEWE KWA KU MIND YOUR BUSINESS!

Angekuwa si mmoja wa hao waunda vigenge asingejua uwepo wake, hawa ndo wale wale mwangani wanaficha makucha yao kujifanya watakatifu wanaenda kuachia gizani wakijua hawaonekani.
 
Sina muda wa kujibizana na mtu mwenye kichaa cha mimba ilokataliwa...halafu sijachamba mtu...nimesema kweli...
na ukweli unauma ndo ukaandikiwa gazeti....

aiseeeeee sa mbona dots haziungani yule kasemwa kasoma udom na huyu ni wa udsm yule ana degreee huyu ana masters huoni uko gizani bado lol nahisi movie ina wenyewe hii
 
Emotional disturbances may prone you to mental illness at a future time.

Si bure kuna watu wanamatatizo ya akili humu.
People stop guessing and speculating.
Others stop defending yourselves at any cost ikiwa hata kiutetezi wa kistupid stupid.
Mnavuana nguo bila umuhimu wowote.
WE YANAKUHUSU NINI? Unawalipia bundle? Get a life your self!
 
Shoga nina ID moja tu mwenzio...nikiimwaga mitusi naogopa ban....halafu utamu wa ban naujuaaa...

Ila leo nimejijua kama nina shabaha....nimetupa jiwe gizani limempata mtu la kifuaa anatapika damu tuuuuu......heheheeeeeee!

Basi yaisheee wajameniii
 
Mwenyewe kajiona kakua sababu tunanyoa wote, na kapata mtu wa kumsokomeza anjiona tunalingana ananifumba na kutishi kunichamba kubwa la maadui! WHEN A BABY (EVEN A CAT) WASHES ITS HANDS IT CAN DINE WITH THE KINGS! Mwache anyweee alilolikorogaaa! Tatizo kaamini maneno ya MTU MZIMA YOOOOTE! Akona nitakuwa mnyongeee, nitasema nini wakati mafaili yangu yako on display! Kumbe mkanda umetoka kichwani kwa mtu mzimaaa! Apeche alolo hamna hata moja la ukweli! Hahaaaaa! Ndo maana nimem DARE MTU MZIMA TENA MTU MZIMA I DARE YOU NJOO HAPA UMWAGE FAILI ZANGU, si unauhakika vya kweli hujatungaaa? Nyooooooo!

Maneno ya PM msiamini yoteee, wengin psychopath wanatunga vitu na kuwa chuuza!

Basi yameshaishaaaa shoga anguuu tumchambe basi mwingine na mimi nimchambeepoo upepo ushapitaa tuanze mwinginee
 
Hahaaaaaaaa! Kama nilivosema MANENO HATA KWENYE KANGA YAPO TELEEEEEEE! Safisha kinywa mama! Mdomo jumba la maneno! Na silaha ya mnyonge maneno tu manake atafanya nini tena zaidi ya kuosha kinywa! Haloooooooooooooo! Kanisambazeeeeeeee! Ukimaliza unisajili! KUBWA LA MAADUI NA NAMNGOJA MAMA YENU ARUDI HAPA! Nasikia anasema kakatazwa kurudi! Mxiuuuuuu!

Vitizame, vinyongeeee! Kufumba fumba! Kama wanawake kweli ongeeeni bank! Gizani gizani ndo sehemu za wanyonge hizo!

Kakatazwa kurudi au anaogopa kuanikwa???? Siku hizi atutangazi tunakuanika unajisambaza mwenyewe.
 
Hahaaaaaa! Ukweli gani uliosemaaa? Ona tundu zote zimekubaki wazi unawaya waya maskini ya Mungu! Hahahaaaaaaaaaaaaa! Msamba umekupasuka waaaaaa! Nyooooooo! Shika adabu zako zikushike!

Eeeeeeeee si yameishaaa mpaka tulieee
 
aiseeeeee sa mbona dots haziungani yule kasemwa kasoma udom na huyu ni wa udsm yule ana degreee huyu ana masters huoni uko gizani bado lol nahisi movie ina wenyewe hii
Afu na wewe dogo umenisambaza sanaaa ujue taarifa zako ninazo! Kweli msomi kama wewe wa kuingizwa mjini na MZIMA OVYOOO KAMA YULE? Ila kidogo umeanza kutumia akili kuwanza! Last warning! Ukinisambaza yenaaa hulaaaaaaa! (Ila kiukweli miss neddy mshikaji wangu wewe mtu wa kunisambaza mimi kweli? Au ulijua sitojua?)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom