huu uzi nahisi hadi mods wanaufurahia
Mie niko hapo hapo kwenye kujirahisisha. Sasa kama unajijua uko desperate na ndoa kumegana kunahusikaje?
Shida ya mahusiano yenu ya kisasa. mnatumiana PM siku moja, kesho yake mnaonana mlimani city, keshokutwa asubuhi mnazini na condom na jioni mmeshaaminiana mnananihii bila kinga. weekend inayofuata engagement!
Bora sie wa kizamani, mtu anafukuzia hadi anakata tamaa hajarembuliwa jicho. hadi ulegezewe jicho jasho limekutoka. Na hapo huajruhusiwa kuhold hands, sijaongelea kissing! Hata kama unamuonjesha, ndo ushamjua hadi bibi wa nyanya ya babu yao mama yake wa kambo
yaani....!!!!
mi naona marangi rangi tu hapa!
Kwanini wanaufurahia?
duuuuh jamiii ina marioo wengi now days
yaani mwanu,e akishaona una kazi ni tatizo ndo maana mi nasema huwezi kunipa ela basi stay away fromme maana najua in comin ays utaniomba
Ila kwa kweli Marioo wamezidi sana siku hizi weeengi mno khaa??
kwa sababu unafurahisha
mbona mimi nakupa pesa lakini unanipotezea mbayaa?
Ha ha ha na ni kweli langu jicho tu observer
unafkr sasa hiyo ni issue sasa hiv!Mie niko hapo hapo kwenye kujirahisisha. Sasa kama unajijua uko desperate na ndoa kumegana kunahusikaje?
Shida ya mahusiano yenu ya kisasa. mnatumiana PM siku moja, kesho yake mnaonana mlimani city, keshokutwa asubuhi mnazini na condom na jioni mmeshaaminiana mnananihii bila kinga. weekend inayofuata engagement!
Bora sie wa kizamani, mtu anafukuzia hadi anakata tamaa hajarembuliwa jicho. hadi ulegezewe jicho jasho limekutoka. Na hapo huajruhusiwa kuhold hands, sijaongelea kissing! Hata kama unamuonjesha, ndo ushamjua hadi bibi wa nyanya ya babu yao mama yake wa kambo
Ila nimeshaanza kuelewa kidogo dogo movie
hapana unajua nilikuwa na ED kido anaumwa so nikaamua kupotezea kmuda hapaTwende zetu kule bana kuna breaking news kuhusu Falcao.
Huu uzi mwachie gfsonwin maana anautumia kama kigezo cha kutochungulia kule kwa man utd. Mwulize hata BelindaJacob
hHahha baby nataka kiwanja
nami nieleweshe mwenzangu maana kichina kitupu
meona eeeeeh