Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!
WACHOTE TU AKILI HUJUI CHOCHOTE! Hahaaaaaaa! Utaunganisha sanaa dots mwaka huuu! Honeeeeey? Ushasambazwa huku?
 
Lakini amepoteza sifa na vigezo...
Hahaaaa! Mnasambaziana FILES ZA NSA, pm zenu zote ninazo haswaa huyo mama yenu anaewajaza ujinga kaa vitu anatunga na nyie mna mwamini! Hahahaaaa! Mtahangaika sanaa mwaka huu!
 
Mimi sio TeamB lakini naamini hakuna TeamB au mwanaume anayejibishana matusi na mwanamke, tena mipasho.

Mwanamke akiongea mwanaume unakaa kimya unatafakari, sio kujibizana.

Jamaa anaboaga jinsi anavyotukanana na wanawake.
Mkewe mwenyewe head quater ya mitusi, siokoti, sibahatoshi natengeneza! Mumuache mume wangu atukane atakavyo ITS A FREE COUNTRY!
 
Hahaaaa! Mnasambaziana FILES ZA NSA, pm zenu zote ninazo haswaa huyo mama yenu anaewajaza ujinga kaa vitu anatunga na nyie mna mwamini! Hahahaaaa! Mtahangaika sanaa mwaka huu!
lara 1 , u know better than word-fight with me!!!

Mkewe mwenyewe head quater ya mitusi, siokoti, sibahatoshi natengeneza! Mumuache mume wangu atukane atakavyo ITS A FREE COUNTRY!

I rest my case!

Cc: mwekundu, Kaizer na Asprin - amepoteza sifa!
 
Last edited by a moderator:
Afu mnaonisambaza pm hukoo mnapuliza moto! NIKI RETRIEVE MAFAILI YENU NSA MTAJAMBA CHECHE HUMU NDANI! Ukikaa nyumba ya vioo usirushe mawe!
 
lara 1 , u know better than word-fight with me!!!



I rest my case!

Cc: mwekundu, Kaizer na Asprin - amepoteza sifa!
You bet! I dont know better I KNOW EVERYTHING! Nikipoteza sifa patakalika humu unafikiri? Dont even try it at home!
This shit aint about you! Muhusika anajijua, wewe ni collateral damage tu!
 
You bet! I dont know better I KNOW EVERYTHING! Nikipoteza sifa patakalika humu unafikiri? Dont even try it at home!
This shit aint about you! Muhusika anajijua, wewe ni collateral damage tu!

Bluffing!
 
Kaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!

Epuka urafiki wa kalamu, na wachumba wanaotafutwa katika matangazo ya vipeperushi na magazeti.

Bibie unasema huyo Mario ana watoto ambao amezaa na wanawake tofauti kila mtoto na mama yake!!!!!!

Sasa hapo ni hatari kwani na wewe ungezubaa kidogo tu angekubebesha mimba na kukuzalisha kisha mnaachana.

Ilikubidi kutafakari kwa nini wenzio wamechana mbuga.

Kuwa makini sana na huyo wa pili naye atakuwa ni walewaleeeeeee!!!!!!!

Ni nadra sana kupata mume / mke bora kwa kupitia matangazo au vipeperushi hayo ni mapenzi ya zamani yameshapitwa na wakati.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Afu wewe unaetunga tunga vitu ujulikane hizi habari 2 unazijuaaa, na unazijua kweli sema unatumia watu wengine kama mbuzi wa kafara kuwaficha wahusika halisi na kuwapoteza maboya watu kwenye UKWELI WA MAMBO leave me out of your shit! Ukiendelea kunisambaza eeeeeeeeeeh! Usijikoshe waambie ukweli WHO IS DABBLER SIJUI? Si rafiki yako kabisaaa! Sema sasa! Leave me out of your shit oooooooooh! heeeeeeeeeeeeeeeeeey! Chinekeeeeeeeeeeeee! If you want to protect dabbler that much dont sacrifise others! And how did you come to fit in the picture? How does it concern you? What is in it for you? Unless Dabbler is one loaded bi.tch you just have to be friends with! THE TRUTH ALWAYS HAS A WAY OF REVEALING IT SELF! Leave me out of your shit one last time! You are no match for me!
 
Wuhusika ujumbe wangu mmeupata! Im out of here! Samahanini kwa kuazima jamvi lenu kwa muda, mnaweza kuendelea na maongezi yenu!
 
duuh nimefatilia huu uzi bila kucomment chochote kumbe kimenuka teyari!
 
REALLY! Dare me! Hahaaaaa! Unaniprovoke niwape ubuyu wa bureee, thubutuuuuuuuu! YE I AM BLUFFING AND BLAFFING HOW DOES IT CONCERN YOU?

Mwenzio kashamwaga, usipomwaga umeogopa! Watu haooo, wanachukua point tatu zao.
 
......hahhhaha, BJ banaaaaaaaaaa.....!? Dont say that, plssss?!

Yaani umeadimika wewe, anyway...i know pakuanzia kukutafutia, #GGMU !


Mmh!! na crisis hii mbona GGMU naiona chungu bestito..ha ha
Nimefichwa nikafichika..mahaba mazito yakheeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mwenzio kashamwaga, usipomwaga umeogopa! Watu haooo, wanachukua point tatu zao.
Hahaaaaa! KAMWAGA TELE MUNDO MY HEART BEATS FOR LOLA! Mimi swali langu moja tu kwake, maana alivomwaga vyoote hajali adress hili! WHO IS DABBLER? Maana huyu ndo anae mprotect! THE MILLION DOLLAR QUESTION IS WHY? Maana kajitahidi kweli kumsafisha hatari!

Kuna tofauti ya kuwa common mmbea, unachosikia unaamini na kuwa NSA ambapo unaangali sio the potrayed picture tu but unanda mbali sanaa kutizama WHY THE PICTURE WAS POTRAYED? BY WHO.? TO ACHIEVE WHAT? And who are the true powers behind the picture! Uiwe mzito kufikiri!

Hivi wewe unadhani Dabbler kaamka tu saa 6 usiku kuja kiweka hii mada, akaja mtetezi wake, afu kaka yake zinc akampoke kipira kule, akata lawyer, na mlalamikaji akapata lawyer? Think boy! Think!
 
.....hahaha, EMT... tangu jana nimeganda hapa na popcorns zangu nafuatilia kila post ya gfsonwin, na connect dots zinapoelekea-------~~~~~••••••!!!

Labda kwa muda ila najua kesho utakuwa kuleeee kibandaumiza as usual.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom