Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
mtu anajifungulia thread mwenyewe af anajikomentisha kutake atention za watu,mbaya zaidi kashushuka na kubak na dilema na wengine bendera fata upepo wameumbuka mpaka wamekimbia peku peku na ndala zimewavuka,CHEZEA MASHUSHU WEWE KAPIGA KIMYA TU KABAKI ZIIIIIII,usiige kunya kwa tembo utapusa hehehe kweli umbea si kazi ila kazi ni KUSUTWAAAAAA ovyooooOOOOO
 
Last edited by a moderator:
duuuuh jamiii ina marioo wengi now days

yaani mwanu,e akishaona una kazi ni tatizo ndo maana mi nasema huwezi kunipa ela basi stay away fromme maana najua in comin ays utaniomba

naunga mkono hoja
 
free p alafu unaombwa tena hela looooh kuna watu wana moyo

yaani mimi mvulana anaiambie tu nipunguzie vocha nipo sehem siwez kupata nitamuuliza maswali hatorudia

ila hili ni tatizo la kuingia kwenye uhusiano na mtu asiekua na muelekeo

mapenzi upofu dear
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Marioo wamekuwa mingi these days. Ukiona mwanamme anataka ndoa haraka haraka umchunguze sana, trust me u will find something unusual!
 
Umeniacha njia panda bibie,
My dear nimejitahidi kufuatilia mpaka l ended up being lost.
Hii kitu ya speculation siiwezi, sikuzaliwa mujini miye.
Ila story ina mafunzo, haijalishi kama ya kweli au ya kutunga.
Na kingine nilichojifunza kwa uzi huu, ni kuwa kuna a lot going on kwenye PMs, iwe mitongozo au umbea and l am too old for them both.
 
Huu uandishi wangu unaweza kua unafanana na hizo multiple IDs za jamaa? Isije ikawa ndio mimi!!
 
An this is Verrosa Part 111 maana wahanga waverosa wamepata pakupumulia leo isnt it Mentor
Ndugu yangu bora UMERUDI! Yule mtu mzima hovyooooooo bado ana mambo yale yale! Sijui amalize TOPAZ ngapi ndo aache utoto! At the age i really feel sorry kwa mtu mzima! NILITAKA NIMCHA,BE WIMA WIMA HAPA LEO, NIKAMHURUMIA TU, UMRI ULE HATA KUJITETEA HAWEZI! Mxiuuuuuuuuu!
 
jf hasa MMU ni kama gende la uswazi kwenye vigodoro na kuna watu humu wana chukiana hatari na wana visasi vya hali ya juu hii ni dalili mbaya sana baada ya kutengeneza network ya amani na kujadili mambo ya msingi wengine wako bussy kusambaza chuki,kejeli,majivuno na matusi nakujiona wao ndio bora kuliko wengine na ukiwakosoa hao ujue umekwisha utapigwa vijembe mpaka ukome kama hukulelewa kiswazi kimbea mbea lazma ujutreeeee cz hua wanajifanya kama malaika kila wanapoongea hujiona wako right tu sijui tutabadilika lini watanzania lolz kweli tabia ni kama ngozi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom