Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
simuamini mtu kabisa humu jf

Uzi wangu umefutwa awwww makoyo
 
Last edited by a moderator:
Huyu mod wa MMU hana kazi zaidi ya kufuta na kuhamisha post, anakera sana

ndo maana satu haaaanzishi mada tunachangia zile zile hata ifike wili tatu auuuw inaboa yaani awwww

sijui nani kariport ama sijui vipi

awww ngoja ninyamaze maana bani la mwezi linanukia

SIMCHOKOZI MTU TENA HUMU
 
Kaunga hem njoo,chaaaaa!

My dear nimejitahidi kufuatilia mpaka l ended up being lost.
Hii kitu ya speculation siiwezi, sikuzaliwa mujini miye.
Ila story ina mafunzo, haijalishi kama ya kweli au ya kutunga.
Na kingine nilichojifunza kwa uzi huu, ni kuwa kuna a lot going on kwenye PMs, iwe mitongozo au umbea and l am too old for them both.
 
Last edited by a moderator:
ndo maana satu haaaanzishi mada tunachangia zile zile hata ifike wili tatu auuuw inaboa yaani awwww

sijui nani kariport ama sijui vipi

awww ngoja ninyamaze maana bani la mwezi linanukia

SIMCHOKOZI MTU TENA HUMU

Unaogopa ban!!
 
My dear nimejitahidi kufuatilia mpaka l ended up being lost.
Hii kitu ya speculation siiwezi, sikuzaliwa mujini miye.
Ila story ina mafunzo, haijalishi kama ya kweli au ya kutunga.
Na kingine nilichojifunza kwa uzi huu, ni kuwa kuna a lot going on kwenye PMs, iwe mitongozo au umbea and l am too old for them both.

Wewe pm yako umefunga bibie?
 
Be very proud my friend :yo: :yo: :yo:

My dear nimejitahidi kufuatilia mpaka l ended up being lost.
Hii kitu ya speculation siiwezi, sikuzaliwa mujini miye.
Ila story ina mafunzo, haijalishi kama ya kweli au ya kutunga.
Na kingine nilichojifunza kwa uzi huu, ni kuwa kuna a lot going on kwenye PMs, iwe mitongozo au umbea and l am too old for them both.
 
Bora nimesoma kote. Huu uzi umenifumbua sana. Niliposoma mada, akili ilinambia, it looks too good. The flow too perfect for my senses. Now I seem to know better. JF kuna vituko sana!! Somehow nimekumbuka uzi wa marehemu fulani bilionea.........
 
And the funniest part ni kwamba huyo jamaa kaja kucomment na humu kwa ID nyingine.
 
mshana jr, huu uzi uliokuwa unasema sio wa kutungwa check ulikofikia
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom