The best way
Member
- Mar 16, 2023
- 23
- 53
hfhghg
Kwa majina naitwa Happy ikiwa namaana ya furaha ila ki ukweli hiyo furaha sina kwa kweli ni shida na matatizo makubwa yananisonga kila kukicha. Katika harakati zangu za maisha huku na huko zilinipelekea hadi kufika Zanzibari, huko nilikuwa nafanya kazi katika hoteli moja tu kubwa ya nyota tano hii ni mwaka ni mwaka 2017.
Kwa majina naitwa Happy ikiwa na maana ya furaha ila kiukweli hiyo furaha sina kwa kweli ni shida na matatizo makubwa yananisonga kila kukicha. Katika harakati zangu za maisha huku na huko zilinipelekea hadi kufika Zanzibari, huko nilikuwa nafanya kazi katika hoteli moja tu kubwa ya nyota tano hii ni mwaka ni mwaka 2017.
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa, ninaishi Dodoma mjini.
Mwaka 2014 wakati nipo chuo nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja hivi anaitwa Nurath,
huyu ni binti ki ukweli mimi sikumpenda au sikumtongoza kwakuwa nampenda au ni mzuri kufikia kiwango kile ninachotaka mimi ila ni mzuri.
hahahahaha ukisoma kila mstari utahisi tu kuna kitu either hakipo anaficha au anachangamsha genge sasa wewe umeamua kabisa kumaliza mchezo thread na ifungweView attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
Duuh mkuu upo vizuri duuujb. Inspector General 😁😁😁 sikuona hiiView attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
Ukisoma kwa makini utagundua moja kwa moja kua huyu ni mwanaume, maneno ya kiume ni mengi sana kwenye maandiko yake, hasa kwenye line za kuzagamuanaView attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
aisee kumbe utamu kolea, mi nkajua ni ukweliView attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
Watu wanajisahau sanaView attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
=
Hadithi yake imekaa kiuongoungo Sana.View attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
=
Kwa jinsi ulivyo muumbua lazima aukimbie uzi, atabaki kuchungulia tu.View attachment 2569988
- Simulizi ya kwanza ulivaa uhusika wa 'ME' na ushauri tukatoa
na
- Hii simulizi ya pili wewe ni 'KE'
=
Weka wazi kuwa ni Hadithi, ili kuondoa utata
=
Kimezidi kudumaaTayari imeshaisha sasa itaendeleaje au kidudu kilirefuka?
Hahha