Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
naunga mkono hoja..
Kwa kweli mnavyofanya siyo vizuri, mmetongozana huko, kimya kimya , sasa hivi mnakuja hapa kuumbuana, siyo vizuri, kama mwanamke/mwanaume umeona hafai baada ya kuonana basi kaa nalo moyoni lakini si kuja hapa kukosoana, siyo vizuri, mnakatisha tamaa wengine ambao wanatafuta. Na kusema kuwa wanawake wote wa online hawafai hata kwa short time siyo vizuri. wanaume Mungu aliwaumba akaweka vifuniko kwenye koo(koromeo) alikuwa na maana yake kuwa uvionavyo, na viingiavyo basi vinafungiwa humo ndani ya moyo, na si kuvitoa nje. Kama wewe mwanamke kaja hapa kukupondea hayo ni mapungufu yake. wewe ulitakiwa kusoma na kupotezea. UUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU.Nafikiri utakuwa umenielewa Black Bat.
 
Kama ulikuwepo,tena Abood ni mdogo wake bibi yangu ambae ni bibi yake na bibi yangu mzaa babu yangu ambae ni baba yake bibi ya mjomba!Sasa si unaona,au hutaki kwenda sokoni na ndege?

Haa haa....mbona mbali hivyo? Tutarithi kitu kweli hapo?
 
Ahahahahhahah..Iyo inaitwa mwaga ugali nimwage mboga.Jf rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nashangaa ID ya retired sister kwenye hii thread haifanyi kazi.

Multiple ID @ work.
 
Yote haya ni matangazo ya biashara tu...
Hii mambo ya sura au umbo ni majaaliwa tu ya Mwenyezi Mungu...
Ujinga ni kutaka kukutana na mtu ambaye hujawahi kumuona...
Halafu unategemea utamuona vile unadhani unataka awe...

Hehehe hebu fafanua kidogo, weye ni mlinzi wa Ikulu au "ikulu"...najua hapo lugha itakuchanganya ila noa mbongo yako kidogo Konnie
ikulu ndogo ...pale mnazi mmoja nshawahi kumuona
 
Dah...

Malafyale said:
Ahahahahaha kuna dada mmoja wa humu alikuja kunitembelea mitaa ya home;
nikamtoa out kwenye grocery ya Mangi!Hadi tunaagana alikuwa amekunywa coca cola 7 tena zile za ML 500!
Nililipa huku nashangaa kwa kweli;Iweje ndani ya masaa 3 tu rtuliyo kaa pale "sister duuh" amalize coca cola 7?

Angekunywa "Captain Morgan" chupa 2 sidhani kama ungekuja kupost hapa....!

Nadhani, tatizo la msingi hapa ni "ufinyu wa kipato" na "ufinyu wa fikra"...!
 
Kwa kweli mnavyofanya siyo vizuri, mmetongozana huko, kimya kimya , sasa hivi mnakuja hapa kuumbuana, siyo vizuri, kama mwanamke/mwanaume umeona hafai baada ya kuonana basi kaa nalo moyoni lakini si kuja hapa kukosoana, siyo vizuri, mnakatisha tamaa wengine ambao wanatafuta. Na kusema kuwa wanawake wote wa online hawafai hata kwa short time siyo vizuri. wanaume Mungu aliwaumba akaweka vifuniko kwenye koo(koromeo) alikuwa na maana yake kuwa uvionavyo, na viingiavyo basi vinafungiwa humo ndani ya moyo, na si kuvitoa nje. Kama wewe mwanamke kaja hapa kukupondea hayo ni mapungufu yake. wewe ulitakiwa kusoma na kupotezea. UUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU.Nafikiri utakuwa umenielewa Black Bat.
dada lakini mimi sikutaja mtu jina na hakuna mtu aliyekuja hapa kulalamika..ila kwa nini mtu anakuomba picha unakataa kumpa? angetuma picha yake yasingetokea haya ya kutokea ..mbona mimi nlimpa yangu?
 
Ahahahahaha kuna dada mmoja wa humu alikuja kunitembelea mitaa ya home;nikamtoa out kwenye grocery ya Mangi!Hadi tunaagana alikuwa amekunywa coca cola 7 tena zile za ML 500!Nililipa huku nashangaa kwa kweli;Iweje ndani ya masaa 3 tu rtuliyo kaa pale "sister duuh" amalize coca cola 7?
hahhaa ....kuna watu na mapipa vidumu na ndoo
 
Msanii hata kama hana alama utamjua tu.
Kwanza atakwambia mkutane gesti.
Pia atataka umrushie picha yako kwanza Fb.
Ebo!
Si tutaonana!
Mie ilibaki kidogo niingie mkenge, Jamaa kaniita Chobingo nikaja na Bodigadi wangu.
Ikabidi asepe.
HE HE wangekula kabang
 
dada lakini mimi sikutaja mtu jina na hakuna mtu aliyekuja hapa kulalamika..ila kwa nini mtu anakuomba picha unakataa kumpa? angetuma picha yake yasingetokea haya ya kutokea ..mbona mimi nlimpa yangu?
Najua hukutaja jina, ila ulivyoandika mtu anaelewa kabisa unamkusudia nani, ukishaona msichana kakuomba pic yako lakini yeye kagoma kukupa yake ujue kuna tatizo, so unaweza ukakaa kimyaaaaaaaaa, atachoka kukutafuta then utakuwa unafanya yako.
 
What is so special with KFC?

Hebu acheni ushamba bana.
definetly wewe huishi bongo thats why..
i think kwenda kfc japo one time maishani is not a crime..wewe daily unakula ma junk food ndio maana unatuona sisi washamba?
 
Black Bat umefanya kosa tena a man like u deserves strokes kama sio mikwaju, umepanga appointment na mtu, umechelewa sawa it's ok kutokana na foleni na hali ya usafiri jijini, si ungempigia simu uombe samahani asubiri kidogo?
Alafu unakuja na kuzuga, eti unaangalia yeye ni type gani, kwani kuonana lazima awe gf wako, it's a date and u must take it as a date, damn boy! Unafanya Love Connect kukosa maana sasa. Wapo watu serious na wanatafuta wenzi kwa njia ya mtandao ila watu kama wewe Black Bat mnaturudisha nyuma kwa hilo, think big brother.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom