Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
Hivi hujui kuwa tumeshamwagana?Siku hizi niko singo best!Siku hizi anatoka na kajamaa kamoja hivi nimekasahau jina!

oooh, haya inabidi uanze kushinda love connect sasa(ushauri wa bureeee)
 
hahahaha alikuita Guest ya chobingo duh angekupa kibano cha haja, hata wanawake nanyi wasanii sana mi juzi hapa nimetongoza kabla ya yote nikapigwa mzinga vocha nikatuma baadae akaniomba nauli aende Tanga bibi yake amefariki anataka aaangalau atulize machungu apande RATCO dah mizinga juu ya mizinga hapo hata kiuno hajaniruhusu niguse.

Ndo mana yake.
Tena ananambia kbs, niko chumba namba fulani.
Mweeh!
Nikienda kukutana na baba yangu mdogo je?
 
He he he, ni lugha ya picha tu.

Ujumbe ilikuwa 'sio vizuri kukutana na mtu, asipokufurahisha sura yake unakuja kumweka hapa jf'
Honestly naingiza timu bongo soon,unapatikan wapi?
 
Hahahaaa...! Chezea demu wa mtandaoni wewe! Hivi kuna mwanamke mzuri ambaye anathubutu kutafuta mchumba mtandaoni? Jinsi wanaume wanavopenda reception na body iliyotulia unafikiri wataacha kukushobokea huko mtaani kwenu au kazini au sehemu yoyote ile? Nyie wanaume kuweni makini sana na hizo picha za wadada hasa wale wanao tafuta mabwana baadhi yao c picha zao, niwachache sana wanao weka picha ya kweli.
 
alafu nye wanawake wacheni zenu...kidume kuomba picha must.ata weye pia sii unaweza kuomba picha....mnakata kwa sababu nyie ng'ong'ozo.....mwanamke yoyote mwenye kujiamini anatuma tuu picha yake.
 
Hahahaaa...! Chezea demu wa mtandaoni wewe! Hivi kuna mwanamke mzuri ambaye anathubutu kutafuta mchumba mtandaoni? Jinsi wanaume wanavopenda reception na body iliyotulia unafikiri wataacha kukushobokea huko mtaani kwenu au kazini au sehemu yoyote ile? Nyie wanaume kuweni makini sana na hizo picha za wadada hasa wale wanao tafuta mabwana baadhi yao c picha zao, niwachache sana wanao weka picha ya kweli.

kweli kabisa hawa wa humu watakuwa hawana mvuto...mwenye mvuto wanatongozwa daily huko mtaani
 
Wewe mwenyewe unalipa lakini? Usije ukawa ulienda na nauli tu mkononi halafu unatafuta kuthaminisha mtu......
 
Yaani Husninyo hunitakii mema kabisa
'
Niende Love Conect nikakutane kama yaliyomkuta Black Bat !
'
Mi sasa hivi nadeal na wa mtaani tu
'
Tunajuana kabisa,mambo ya kusumbuana sijui tukutane wapi huko,wakati sie wa uswazi tumezoea kukutana jioni kwenye viringe vya uji!
 
Last edited by a moderator:
Wewe mwenyewe unalipa lakini? Usije ukawa ulienda na nauli tu mkononi halafu unatafuta kuthaminisha mtu......

Dina mi nalipa,hebu tuonane bana!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni wewe ulikuwa unatafutwa,tafuta thread inakuhusu humu ulichelewa kufika anasema!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani Husninyo hunitakii mema kabisa
'
Niende Love Conect nikakutane kama yaliyomkuta Black Bat !
'
Mi sasa hivi nadeal na wa mtaani tu
'
Tunajuana kabisa,mambo ya kusumbuana sijui tukutane wapi huko,wakati sie wa uswazi tumezoea kukutana jioni kwenye viringe vya uji!

bora mwaya, maana huku nna wasiwasi tunachati hadi na misukule
 
Last edited by a moderator:
Eiyer, mie sitafuti mpendwa.......nilikuwa naangalia scenario ya mheshimiwa "Paka mweusi"......

Mi sijasema unatafuta ila nimekuzimia tu,naomba unipokee tafadhali . .Lol!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom