Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
alafu nye wanawake wacheni zenu...kidume kuomba picha must.ata weye pia sii unaweza kuomba picha....mnakata kwa sababu nyie ng'ong'ozo.....mwanamke yoyote mwenye kujiamini anatuma tuu picha yake.

kwani kutoa picha ni kazi jamani?
Hebu cheki aveta yangu na baada ya kuniona. Hapo chini. Jamani kutokujikubali ni kazi kweli.. Teh teh
 

Attachments

  • 9486_397418867009164_46210017_n.jpg
    9486_397418867009164_46210017_n.jpg
    30.7 KB · Views: 64
  • 165981_344674885633901_172697412_n.jpg
    165981_344674885633901_172697412_n.jpg
    16.2 KB · Views: 66
Mi sijasema unatafuta ila nimekuzimia tu,naomba unipokee tafadhali . .Lol!

Ai.....haya huku navunja vidole, kutafuna unyasi na kuchimba ardhi na dole gumba......Kwani wewe ndio mwenye mabasi ya City bus pale Dar es Salaam?
 
Ai.....haya huku navunja vidole, kutafuna unyasi na kuchimba ardhi na dole gumba......Kwani wewe ndio mwenye mabasi ya City bus pale Dar es Salaam?

Kama ulikuwepo,tena Abood ni mdogo wake bibi yangu ambae ni bibi yake na bibi yangu mzaa babu yangu ambae ni baba yake bibi ya mjomba!Sasa si unaona,au hutaki kwenda sokoni na ndege?
 
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!
Black Bat vs Retired Sister
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahaha kuna dada mmoja wa humu alikuja kunitembelea mitaa ya home;nikamtoa out kwenye grocery ya Mangi!Hadi tunaagana alikuwa amekunywa coca cola 7 tena zile za ML 500!Nililipa huku nashangaa kwa kweli;Iweje ndani ya masaa 3 tu rtuliyo kaa pale "sister duuh" amalize coca cola 7?
 
Mbona mie mhusikaa sijasikia?

Hebu lije upesi nilifanyie upembuzi yakinifu.

Aunt za wapi?Jana nilisikia eti kuna pedezhee moja linataka kukuhonga eropleni,ni kweli?Lol!
 
Kwa kweli mnavyofanya siyo vizuri, mmetongozana huko, kimya kimya , sasa hivi mnakuja hapa kuumbuana, siyo vizuri, kama mwanamke/mwanaume umeona hafai baada ya kuonana basi kaa nalo moyoni lakini si kuja hapa kukosoana, siyo vizuri, mnakatisha tamaa wengine ambao wanatafuta. Na kusema kuwa wanawake wote wa online hawafai hata kwa short time siyo vizuri. wanaume Mungu aliwaumba akaweka vifuniko kwenye koo(koromeo) alikuwa na maana yake kuwa uvionavyo, na viingiavyo basi vinafungiwa humo ndani ya moyo, na si kuvitoa nje. Kama wewe mwanamke kaja hapa kukupondea hayo ni mapungufu yake. wewe ulitakiwa kusoma na kupotezea. UUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU.Nafikiri utakuwa umenielewa Black Bat.
 
Nimefurahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom