Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
Shem humu kuna mambo kweli...ni ngumu sana kudeal na watu usiowajua.

Ndo mana nikasema baadhi yao.
Huoni hata mtoa mada kasema alijibanza sehemu ili amuone reception kwanza.
Humu Jf sina hamu nako,
Mchumba wangu nitampata Mwakasege akija,lakini Jf, wasanii wa kumwaga.
 
Hivi msanii ana alama? na wewe Madame B umetendwa kama mwenzetu huyo?

Msanii hata kama hana alama utamjua tu.
Kwanza atakwambia mkutane gesti.
Pia atataka umrushie picha yako kwanza Fb.
Ebo!
Si tutaonana!
Mie ilibaki kidogo niingie mkenge, Jamaa kaniita Chobingo nikaja na Bodigadi wangu.
Ikabidi asepe.
 
Last edited by a moderator:
Yote haya ni matangazo ya biashara tu...
Hii mambo ya sura au umbo ni majaaliwa tu ya Mwenyezi Mungu...
Ujinga ni kutaka kukutana na mtu ambaye hujawahi kumuona...
Halafu unategemea utamuona vile unadhani unataka awe...

Hehehe hebu fafanua kidogo, weye ni mlinzi wa Ikulu au "ikulu"...najua hapo lugha itakuchanganya ila noa mbongo yako kidogo Konnie

Utoto una tabu

Mnakutana mnakuja mwagana sredini.

Mie mlinzi ikulu🙂
 
Steers unafikiri ningetumia kiasi gani bana hadi niogope .. Kuna KFC so good imefungulia mwenge unaijua?
Kwanza ningemnunulia kahawa apandwe na manyege tu basi.. Anyway .. Hii ndio dawa ya wasiotaka kutuma picha zao kabla..... Bora classmet amechukua dead ball

dawa mwambie mskype..Picha si anatafuta google tu na anakurushia..utajuaje!?
 
Msanii hata kama hana alama utamjua tu.
Kwanza atakwambia mkutane gesti.
Pia atataka umrushie picha yako kwanza Fb.
Ebo!
Si tutaonana!
Mie ilibaki kidogo niingie mkenge, Jamaa kaniita Chobingo nikaja na Bodigadi wangu.
Ikabidi asepe.

hahahaha alikuita Guest ya chobingo duh angekupa kibano cha haja, hata wanawake nanyi wasanii sana mi juzi hapa nimetongoza kabla ya yote nikapigwa mzinga vocha nikatuma baadae akaniomba nauli aende Tanga bibi yake amefariki anataka aaangalau atulize machungu apande RATCO dah mizinga juu ya mizinga hapo hata kiuno hajaniruhusu niguse.
 
Ina maanaa ubaya wa sura ni crime?
Sie tusio na sura tufanyeje? Plastic sajare?

Huu ni unyanyapaa kwa uumbaji, bora ungechuna tu sababu hakukukosea adabu ila hukuipenda sure yake.

Lakini kingine, kusema wadada wa jf, ina maana hapa hakuna wadada wakali kwa sura?

Akyanani sie vizee tunabaguliwa, nimeumizwa sana na hii sred.
Hapa umenichanganya kidogo...
 
Ulimwengu umekumbwa na mafuriko haya,utasalimika kama uko Mars,kesho naondoka,twende!Habari yako lakini?

mi sijambo. vipi wewe? mai waif wako Kaunga hajambo?
 
Last edited by a moderator:
Ndo mana nikasema baadhi yao.
Huoni hata mtoa mada kasema alijibanza sehemu ili amuone reception kwanza.
Humu Jf sina hamu nako,
Mchumba wangu nitampata Mwakasege akija,lakini Jf, wasanii wa kumwaga.

Ha ha haaaa..Imani yako imekuponya
 
mi sijambo. vipi wewe? mai waif wako Kaunga hajambo?

Hivi hujui kuwa tumeshamwagana?Siku hizi niko singo best!Siku hizi anatoka na kajamaa kamoja hivi nimekasahau jina!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom