BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
dont kiss and tell, utakosa utamu bure,mi najilia kimyakimya,nikimpenda mtu nanyakua kama mwewe,haijalishi
Hivi unaponipenda mtandaoni unakuwa unanioendea nini? Avater, michango yangu au imagination uliyojitengenezea?????
Why?umeshakutana naye?
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!
Hapa naamini kuwa kati ya Black Bat na Retired Sister kuna mmoja wao sip character ya ukweli kqen hili movie.
Bravo @ kaizerHapa naamini kuwa kati ya Black Bat na Retired Sister kuna mmoja wao sip character ya ukweli kqen hili movie.
Jombaa usinambie ile thread alo dondosha mdada huku inayohusu steers ni wewe apoh kumbe alikua kidume duuhh..mbona kasema ulizingua na amempata jamaa sijui classmate wake..!!!Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!
Staki kumchambua sana dada wa watu hapa.. Thread yangu imejitosheleza.
Nimekuuliza unaijua KFC mpya?
dont kiss and tell, utakosa utamu bure,mi najilia kimyakimya,nikimpenda mtu nanyakua kama mwewe,haijalishi
Funny mnavyoishabikia KFC ... geez!!!, na steers??
Kijiwe changu ninachokizimia bongo ni Calabash ....
KFC na Steers, subway uuuurghh!!