John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
- Thread starter
- #181
EMT kila mtu amezaliwa ili awe yeye...nadhani umri wako utakuwa umesonga sana na ndio maana unaona kilichotokea hakina u gentle man wowote...nakushauri uhamie jukwaa la siasa ama la lugha...huku utaumiza kichwa chako bure..utapadwa na presha...hiki ni kizazi cha nyoka...hutaweza kufanya marekebisho yoyote...huyo unayemtetea sasa hivi anagegedwa na classmet...walikutana pale pale steers..tulizana mzee wetu utakufa siku si zako ..just leave us alone ..ila hukatazwi kuweka mchango wako hapa...Personally, sijaona ni kwa nini mleta mada kaamua kuleta hili suala humu JF.
Sielewi kwa nini a decent or a gentleman would do this. What for? Ili iweje?
Vipi kama hiyo siku angeibuka dada yake or his very close relative, angekuja kumwanzishia thread humu?
Probably, anadhani kufanya hivyo ni kujaribu kuelimisha umma wa JF, but this sounds to me as udaku at its very best.
Inapofikia stage mpaka wanaume nao wana-concentrate kwenye stories za udaku, habari nyepesi nyepesi, then jua the society is in demise.
Lakini ukifuatilia baadhi ya threads za nyuma za mleta he doesn't care about privacy or confidentiality.
Kama hii story ina ukweli wowote, it is pity that huyo mdada hakujishughulisha hata kusoma threads za nyuma za huyu jamaa ili ajue ni jinsi gani kila kitu kingekuja kuanikwa hapa hata kama hiyo appoitment ingefanikiwa.
Last edited by a moderator: