John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
- Thread starter
- #161
sasa nani kakuambia kuwa ana kasoro? angekuwa na kasoro classmet angebeba?...Najua hukutaja jina, ila ulivyoandika mtu anaelewa kabisa unamkusudia nani, ukishaona msichana kakuomba pic yako lakini yeye kagoma kukupa yake ujue kuna tatizo, so unaweza ukakaa kimyaaaaaaaaa, atachoka kukutafuta then utakuwa unafanya yako.
na umeona thread yake aliyoileta hapa..? sema bahati mbaya nimeiona yake baada ya kuleta yagu..but nisingeleta yangu..i do respect womens..beliv me