Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
I see, itabidi tukutane

Personality utakayokutana nayo nimei-oil kidogo

sweetlady which is better? Kuficha who you really are halafu baadae uje kutemwa au kuonyesha mapema who you really are ili kama ni kutemwa utemwe hapo hapo?

I think the earlier you show your true colours the better. Nionyeshe personality yako mapema ili niweze ku-make an informed decision about you.

Wengine hatuangalii your beauty, but your personality. Don't hide your personally kwa kutegemea uzuri wako.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hahahahahaha ungebakwa we mtu mwanaume si mwanaume,mwanamke si mwanamke mtu gani huyo Jr
 
Steers unafikiri ningetumia kiasi gani bana hadi niogope .. Kuna KFC so good imefungulia mwenge unaijua?
Kwanza ningemnunulia kahawa apandwe na manyege tu basi.. Anyway .. Hii ndio dawa ya wasiotaka kutuma picha zao kabla..... Bora classmet amechukua dead ball

ndio nini kuja kunisema hadharani lakini,kama sijakuvutia si ungepiga kimya loooolz!!!
 
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!

wanaolewaga shauri lako
 
Ulifikiri mwanamke wa ukweli, sura ya maana na tabia zinazopendwa na Mungu anaweza kuja kujirahisi mtandaoni. We ukishaona kitu kinajiuza ujue kimeo.

''Kizuri chajiuza, kibaya chajinadi JF''
 
Na ndio sababu sipenda wala sitaki kukutana na mtu yyt mana sitaki kero kuja anzishiwa thread oh mzuri or mbaya wengi huku wasichana na wanaume hamna akili kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom