Alisahau kuandika wewe si kahaba, kwani makahaba ukiwapa namba watakupigia chapu chapu. Kwa vile hukuwa kahaba ndo maana uliipotezea.Haha hao ndo men wa jf wakitoswa wanatoa maneno ya kashfa galz watch out kuna m1 alinipa no yake eti nimcal nilipompotezea akaniita kahaba so hopeless unampaje kahaba namba yako kama nawe siyo mteja wa makahaba?
Na ndio sababu sipenda wala sitaki kukutana na mtu yyt mana sitaki kero kuja anzishiwa thread oh mzuri or mbaya wengi huku wasichana na wanaume hamna akili kabisa
Nilihudhuria kumbukumbu ya dada yetu Regina pale britishi kanseli hao wadada wa jf mhn bora nisiendelee
Utoto una tabu
Mnakutana mnakuja mwagana sredini.
Mie mlinzi ikulu🙂
Utoto una tabu
Mnakutana mnakuja mwagana sredini.
Mie mlinzi ikulu🙂
eheee wewe kijana hebu nieleze nipoje wacha longolongo.kina kuuma kunikosa eeh! habari ndo iyo nipo mapenzini sasa
yani wewe!Lakini don't judge her kwa sababu anaongea sana. Women like to talk. They like to be listen to.
Mwanamke wa kawaida anaweza kuongea maneno 20,000 kwa siku wakati mwanaume ni maneno 7,000 tuu.
Unless kwenye date na kwa sababu anazozijua mwenyewe, mwanaume anataka aongee zaidi ya mwanamke, let her talk as much as she wants and listen as much as she wants.
Mwanamke hataki mwanaume wa kuongea nae, bali wa kumsikiliza.
Akitaka wa kuzungumza nae, tayari anao mashoga zake. Au snowhite unasemaje?
eheee wewe kijana hebu nieleze nipoje wacha longolongo.kina kuuma kunikosa eeh! habari ndo iyo nipo mapenzini sasa
Ahahahahaha kuna dada mmoja wa humu alikuja kunitembelea mitaa ya home;nikamtoa out kwenye grocery ya Mangi!Hadi tunaagana alikuwa amekunywa coca cola 7 tena zile za ML 500!Nililipa huku nashangaa kwa kweli;Iweje ndani ya masaa 3 tu rtuliyo kaa pale "sister duuh" amalize coca cola 7?
Sasa unanisuta nini? Ina maana huna hata kumbukumbu ya mwanaume aliyeku pm mkapanga mkutane steers? Kama umesahau si uangalie hata inbox yako?
Tukizana dada
Sent from i phone 4s