Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
Mods walivyoweka jukwaa la love connect ni wajinga?!Kuna watu wameoana na wana watoto via JF

mh makubwa

mwanaume wa JF?

AISEE HAYA WAJAMENI ENDELEENI NA HAYO MAMBO YENU SIJUI MANAITA DATING SIJUI NINI?

AH AM TOO OLD FOR THIS
 
nina kilo 117, na height 163 cm ssssssshhhhhhhhhhiiiiiiiiiiiiiiiiiiii usimwambie mtu:wink:
sasa wewe mnene hapo...mtoto portable kabisa ..wewe hujaona heavyweight dada yangu. ila nsamehe kama thread imekuudhi
 
Kumbe?? huo ni mtazamo wako...tuko tofauti.

Kwakweli tupo tofauti.

mi napenda nikutane na mtu from no where, i hate kupangiana ratiba na muda na mtu nisiyemjua then eti ndo nijilazimishe kumkubali.

anyway, if it works for others then good for them.
 
nina kilo 117, na height 163 cm ssssssshhhhhhhhhhiiiiiiiiiiiiiiiiiiii usimwambie mtu:wink:
Jestina
Unapenda umbile lako? kama jibu ni NDIO then be proud of urself and believe kwamba u are cute na unaweza mpata yeyote. kuna watu wanapenda wanawake wenye miili mikubwa so its not a big deal.
Kama jibu ni HAPANA, manake u don't appreciate urself, lifanyie kazi....work out.
 
Last edited by a moderator:
sweetlady which is better? Kuficha who you really are halafu baadae uje kutemwa au kuonyesha mapema who you really are ili kama ni kutemwa utemwe hapo hapo?

I think the earlier you show your true colours the better. Nionyeshe personality yako mapema ili niweze ku-make an informed decision about you.

Wengine hatuangalii your beauty, but your personality. Don't hide your personally kwa kutegemea uzuri wako.


EMT ni kweli uyasemayo ila jamani siku ya kwanza tu hutaki kumpa mwenzio nafasi ya kuongea lol..... Tabia haijifichi ingawaje muhusika unaweza kujicontrol japo kidogo ili usimtishe mwenzio.....

Nna hakika kila mtu anajijua alivyo na ndio mana kuna mtu anaweza kusema yeye ni muongeaji bt hiyo haimpi haki ya kuongea kama mwehu.... Ongea vyenye maana ! Kuna mtu aliwahi kunisimlia kuwa aliwahi kukutana na mdada muongeaji na anajua kila kitu yani akigusa siasa mdada anaporomoka na kuanza kuwataja wanasiasa, wake zao, watoto wao, mahausi girl wao mpaka na nyumba ndogo zao lol..... Yani anasema alichoka akawa anatamani kumtoroka!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
hahahaha alikuita Guest ya chobingo duh angekupa kibano cha haja, hata wanawake nanyi wasanii sana mi juzi hapa nimetongoza kabla ya yote nikapigwa mzinga vocha nikatuma baadae akaniomba nauli aende Tanga bibi yake amefariki anataka aaangalau atulize machungu apande RATCO dah mizinga juu ya mizinga hapo hata kiuno hajaniruhusu niguse.

Yaani comments zako zinanivunja mbavu zangu, jf raha tupuuuuuuuu....
 
I'm listening...



How old are you?

mh i like it mtu akiniambia he is listening, maana maneno yote huniisha then najikuta nimerudi kwenye nafasi yangu ya kuwa female. ha ha ha ha anyway, ongea wewe mi nimeishiwa kabisaaaaaaaa cha kusema.

unataka kujua umri wa nini jamani? ofkoz am old jamani.

niko na 30
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwakweli tupo tofauti.

mi napenda nikutane na mtu from no where, i hate kupangiana ratiba na muda na mtu nisiyemjua then eti ndo nijilazimishe kumkubali.

anyway, if it works for others then good for them.

Labda uko nje ya ile age group..ndo maana, otherwise you'd have done the same.
 
Hahahahahah!kumbe Retired Sister ni msichana ila wa kiume? Bora hamkuonana, angeliliaje 0713????????.Nilijua tu thread hii @''Wanaume wa huku muache mapozi"" italeta uzi mwingine.
 
Labda uko nje ya ile age group..ndo maana, otherwise you'd have done the same.

ha ha ha hata nilivyokua mdogo, nilikua sifanyi haya mambo ya kijinga eti online dating! lo ndo maana watu wanalizwa hivi hivi
 
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!

Bora hata huyo,mimi nilishakutana na mmoja yaani body lake mchina na kibini mjapan.Alikuwa na simu sijui hata ni aina gani jinsi ilivyochoka kaifunga na rubber band na baadhi ya button hazipo.Kitu cha kwanza tu akaomba nimnunulie simu,Wa aina hii acheni sounds
Hivi nyie wakulima wa wapi mnachagua majembe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom