Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.
EMT,

Nategemea ataongea zaidi ila lazima binti awe na break , ile hali ya kujistukia iwepo wanaita staha.

Sio mtu unamuangalia umemkodolea anaongea tu nonstop.

Kama ningetaka wa kumsikiliza tu si ningeenda kwenye ki date na RADIO yangu.

Hahahaha. Inakubidi uazime sikio la tatu siku ya date.
 
Lakini don't judge her kwa sababu anaongea sana. Women like to talk. They like to be listen to.

Mwanamke wa kawaida anaweza kuongea maneno 20,000 kwa siku wakati mwanaume ni maneno 7,000 tuu.

Unless kwenye date na kwa sababu anazozijua mwenyewe, mwanaume anataka aongee zaidi ya mwanamke, let her talk as much as she wants and listen as much as she wants.

Mwanamke hataki mwanaume wa kuongea nae, bali wa kumsikiliza.

Akitaka wa kuzungumza nae, tayari anao mashoga zake. Au snowhite unasemaje?

Mh..... Ni kweli EMT ila siku ya kwanza tu unakutana na mdada anaongea kama kameza radio lol..... Mtoto wa kike lazima uwe na staha bana khaaa!
 
Last edited by a moderator:
EMT,

Nategemea ataongea zaidi ila lazima binti awe na break , ile hali ya kujistukia iwepo wanaita staha.

Sio mtu unamuangalia umemkodolea anaongea tu nonstop.

Kama ningetaka wa kumsikiliza tu si ningeenda kwenye ki date na RADIO yangu.


mh mie ni muongeaji tena sanaaaaaaaaaa tu

kama hutaki kusikiliza sepa, ah staha staha, ya nini kuigiza what u are not?

kama wewe huongei, inabidi mie niongee. kama hupendi sepa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hii ndio ile, aliyeuziwa cheni bandia naye katoa hela bandia. kweli mujini mujini tu!
 
mh mie ni muongeaji tena sanaaaaaaaaaa tu

kama hutaki kusikiliza sepa, ah staha staha, ya nini kuigiza what u are not?

kama wewe huongei, inabidi mie niongee. kama hupendi sepa

Mi napenda kwanza kujua jinsia yako ni He/She au Shemale?
 
mh mie ni muongeaji tena sanaaaaaaaaaa tu

kama hutaki kusikiliza sepa, ah staha staha, ya nini kuigiza what u are not?

kama wewe huongei, inabidi mie niongee. kama hupendi sepa

Birds of a feather flock together...
 
Teh teh teh teh
Umepatikana, ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Haya unajifanya kumponda mdada wa watu kumbe sifa zote anazo, yuleeee yuko na classmate mwenzake. Umeumbuka mzee mzima, confidence hauna ndio maana ukaja na gia eti yuko kama dume maneno kibaoooo!
Jipange utaishia kubwabwaja wenzako wanapata wapenzi wa ukweli humuhumu JF.

Hmmmm....
 
Mi napenda kwanza kujua jinsia yako ni He/She au Shemale?

mi she bana tena ninayejitambua vilivyo

i dont waste my time eti nijifanye what am not hata siku moja.

anyway, labda sababu i feel complete maana sitafuti mwanaume wala eti mchumba sijui boyfriend. Nimeshapita that stage like 10 years ago.

nakula life tu, hayo mambo ya dating nimeshasahau mpenzi.
 
mie sijaipenda topic yako,
wadada,duniani kote amani imetoweka kwa sababu ya nyie wanaume ,ndio wadada wanatumia madawa mbali mbali kwa imani watabadilisha muonekano wa maumbile yao,mie kiuhalisia ni mnene sana eleven stones ila naamini kuna mtu atakayenipenda nilivyo,kama hanipendi asepe kimya kimya sio kuanzisha thread umepata nini sasa...:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
Eleven stones mbn si nyingi,kilo karibu 69 tu,au ni mfupi?
 
Mh..... Ni kweli EMT ila siku ya kwanza tu unakutana na mdada anaongea kama kameza radio lol..... Mtoto wa kike lazima uwe na staha bana khaaa!
sweetlady which is better? Kuficha who you really are halafu baadae uje kutemwa au kuonyesha mapema who you really are ili kama ni kutemwa utemwe hapo hapo?

I think the earlier you show your true colours the better. Nionyeshe personality yako mapema ili niweze ku-make an informed decision about you.

Wengine hatuangalii your beauty, but your personality. Don't hide your personally kwa kutegemea uzuri wako.
 
Ha ha ha....iyo Kali ungemnunulia na maji ya uhai ili adilute iyo sukali Loh!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom