John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
- Thread starter
- #221
ati huna gari?I don't have a car, nina miguu tu
Huwa na i-oil
uchumi unao umeukalia kajisema raisi mwinyi..amka dada..usikalie uchumi..
ati huna gari?I don't have a car, nina miguu tu
Huwa na i-oil
mh...ya kweli haya lakini? ama classmet anahusika?Hahahahaha..... Mimi ntalipa zote usijali
Mie nilishakoma na online friendship. Kuna demu nilikutana naye, nilichokutana nacho sintakaa nikisahau. Ilikuwa ni full mikosi na mabalaa. Tangu siku hiyo, nimeconclude kuwa ukikuta demu anatokea online kutafuta mwenza, basi ujue kuwa hafai hata kwa matumizi ya short time.
Hahahahaha Maundumula zihurumie hizi mbavu zangu khaaaaa!..... Eti anawahi kwenye ki date 2 hrs before hahahahaha..... Duniani kuna mambo!
Teh teh teh teh
Umepatikana, ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Haya unajifanya kumponda mdada wa watu kumbe sifa zote anazo, yuleeee yuko na classmate mwenzake. Umeumbuka mzee mzima, confidence hauna ndio maana ukaja na gia eti yuko kama dume maneno kibaoooo!
Jipange utaishia kubwabwaja wenzako wanapata wapenzi wa ukweli humuhumu JF.
Mwengine unakuta binti amekuja wewe hujafungua hata mdomo ameshaongea maneno mia tatu.
wera wera
na ukikuta dume eti linasaka demu kwenye mtandao ujue ni lipumbavu tu
Kua uyaone mdogo wangu...
Lakini don't judge her kwa sababu anaongea sana. Women like to talk. They like to be listen to.
Mwanamke wa kawaida anaweza kuongea maneno 20,000 kwa siku wakati mwanaume ni maneno 7,000 tuu.
Unless kwenye date mwanaume anataka aongezee zaidi ya mwanamke, let her talk as much as she wants.
Mwanamke hataki mwanaume wa kuongea nae, bali wa kumsikiliza.
Akitaka wa kuzungumza nae, tayari anao mashoga zake.
Ndo mana nikasema baadhi yao.
Huoni hata mtoa mada kasema alijibanza sehemu ili amuone reception kwanza.
Humu Jf sina hamu nako,
Mchumba wangu nitampata Mwakasege akija,lakini Jf, wasanii wa kumwaga.
Teh teh teh teh
Umepatikana, ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Haya unajifanya kumponda mdada wa watu kumbe sifa zote anazo, yuleeee yuko na classmate mwenzake. Umeumbuka mzee mzima, confidence hauna ndio maana ukaja na gia eti yuko kama dume maneno kibaoooo!
Jipange utaishia kubwabwaja wenzako wanapata wapenzi wa ukweli humuhumu JF.
ina maana kuna watu wanatafuta wachumba hapa JF?
aisee