Sure Mkuu hii ndio kila kitu.Dah nimesoma mwanzo mwisho. Na niseme nimejifunza mengi, kumtumainia Mungu na kutokata tamaa.
Ubarikiwe David.
Nipeni namba!Dave the fighter. Nakukubali sana jirani, kwa sie tunaofanya kazi na wewe huku Tanga tunautambua uwezo wako 'upstairs'
BTW ametoa namba zake kwa watakaoguswa kumchangia anataka kununua kiti cha umeme (kama sijakosea) kitakachomsaidia kwa urahisi kuliko alicho nacho sasa. Tumuunge mkono mpambanaji.
Aione bashiteSijui huwa tunaringia nini sisi binaadam? Maisha yetu yaweza badilika ama kukoma kabisa ndani ya milisecond!
Mkewe huenda wakware wakamtolea upweke na ugwaduKaka anavutia huyu!🥰
Itahuzunisha sanaMkewe huenda wakware wakamtolea upweke na ugwadu
Duniani huku hamna jipya. Yote yaleyale. Kugongewa sio Jambo jipya kagongewa Nik itakua huyu?Itahuzunisha sana
Wekeni Namba na jina litakalotokea tafadhaliDave the fighter. Nakukubali sana jirani, kwa sie tunaofanya kazi na wewe huku Tanga tunautambua uwezo wako 'upstairs'
BTW ametoa namba zake kwa watakaoguswa kumchangia anataka kununua kiti cha umeme (kama sijakosea) kitakachomsaidia kwa urahisi kuliko alicho nacho sasa. Tumuunge mkono mpambanaji