Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.
Hivyo ndivyo navyo weza kusema kwasababu ni kama viongozi waliopewa dhamana ya kuwatumikia watanzania na kuhakikisha mali na usalama wa maisha yao unalindwa kwa wivu mkubwa.
Hizi ajali zinazoendelea kuwamaliza watanzania na kuwaacha wengi wakiwa na...
Huu mchezo unaoitwa Crate Challenge ambao video zake zimeshika kasi katika mitandao ya kijamii hususan Tik Tok na Instagram huenda, kabla haujapoteza umaarufu wake, ukawaacha watu wengi na majeraha makubwa au pengine ulemavu wa kudumu.
Video nyingi nilizopata kuona zinaaashiria mchezo huu...
Hali imekuwa mbaya ukiachana magonjwa tuliyo nayo kuuwa wapendwa wetu kwa wivu wa mapenzi nao una ua sana.
Baadhi wamekuwa walemavu, kuna haja ya serikali kutoa elimu kwa nguvu zote angalau kupunguza haya madhara.
Hii ni historia ya maisha aliyopitia David tangu 2007 alipopata changamoto na namna alivyopambana mpaka kufika alipofika leo hii. Stori hii David anasema ina nia ya kuwapa nguvu wote ambao leo hii wapo kitandani wanapambana na maumivu ya jeraha la uti wa mgongo na pengine wameshaanza kukata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.