A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
This in not Fair, kijana kaonewa sana, nikitafakari sana nakosa chakusema
==========
Kijana Lucas Muhomba mwenye umri miaka 24 akiwa kwenye majukumu yake ya kawaida ya usafirishaji (bodaboda) alipata abiria kutoka Dumila kuelekea Mkundi kwa malipo ya 3000 ambapo alipofika mbele akaita wenzie wakamvamia wakamfunga kamba mikono na miguuni, wakamuweka mchanga mdomoni na kumtupa kwenye pangale (nyumba ambayo haijakamilika).
Baada ya kukaa kwa siku tatu Hospitali miguu mikono ilioza na alipopelekwa Muhimbili Madaktari wakamwambia inabidi akatwe miguu na mikono na hivyo Lucas amepata ulemavu wa kudumu.
==========
Kijana Lucas Muhomba mwenye umri miaka 24 akiwa kwenye majukumu yake ya kawaida ya usafirishaji (bodaboda) alipata abiria kutoka Dumila kuelekea Mkundi kwa malipo ya 3000 ambapo alipofika mbele akaita wenzie wakamvamia wakamfunga kamba mikono na miguuni, wakamuweka mchanga mdomoni na kumtupa kwenye pangale (nyumba ambayo haijakamilika).
Baada ya kukaa kwa siku tatu Hospitali miguu mikono ilioza na alipopelekwa Muhimbili Madaktari wakamwambia inabidi akatwe miguu na mikono na hivyo Lucas amepata ulemavu wa kudumu.