KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
Mh!!!!!!!!!!!! Majukumu yamzidia atatoka nabukta ndani huyu
Mbona sioni chaajabu hapo,toeni hoja,Je kwa hilo linatosha kuwa fisadi?
Twende naye utake usitake 2015 inamuhusu sana huyu Mh......
Duh, majanga!
Kuhukumu mtu kwa picha ya Mnato haina tija....Kwamba mleta maada umeleta hiyo picha kama sehemu ya kampeni zako??Unaihisianisha picha na urais??Kwamba katika yotee ya kumchafua huyu Mzee umeliona la picha hii tu??
Hii haitoshi kumchafua...2015 tunaenda na SM Wassira,kwa uadilfu na uchapa kazi
Hapa ndio unajua kwa nini mfalme Sulemani alimuomba Mungu ampatie busara. Umri kama wa huyu kikongwe bado anataka kujitwika majukumu mazito ya urais.
Mbona uso unaungua wakati ni yeye na viyoyozi, viyoyozi na yeye?
Bado hajaingia saloon
Bado hajaingia saloon