Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
<br />Nina wasiwasi na uwezo kufikiri wa mzee Wasira.
<br />
usiwe na wasiwasi Uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana had inampelekea yeye kusinziasinzia na kujibu majibu-utumbo.
<br />Nina wasiwasi na uwezo kufikiri wa mzee Wasira.
Wakati unasubiri majibu ya maswali yako ni vizuri kukumbuka kwamba watekelezaji wa sheria ndio hao hao wanaoivunja, sasa usitegemee wassira kuwajibika ama kuwajibishwa kwakuwa amekwenda igunga kujaribu kukinusuru chama kilichompa ulaji serikalini kisivuliwe nguo.
Labda tukishakuwa na katiba mpya tutalazimika kuzingatia maswali yako na kuyawekea sheria kali na wasimamizi makini wa hizo sheria.
<br />Mbona sijaona kitu chochote kinachoonesha kuwa Wassira ameumbuka?
<br /> <br / kigugumiziMbona sijaona kitu chochote kinachoonesha kuwa Wassira ameumbuka?
You are on the extreme side of blindly indoctrinated followers of CCM and remain assured you will be the last person to meet and interact with truth. The day when CDM reality will count in your brain it will be the end of your world of reality and false doctrines of people like u.
<br />Mbona sijaona kitu chochote kinachoonesha kuwa Wassira ameumbuka?
Nimeamini kiswahili kigumu, heri elimu iendelee kwa kidhungu!!!watz wameshaamka wanakumbuka shuka kumekucha ccm hawana chao
Aise avatar yako nimeipenda, imenikumbusha marehemu Omagaaaaaaaaaaaaa.........nimemmisi ile mbaya....RIP Omagaasiyemjua atajisumbua. Kwani hakusinzia kwenye mkutano huo?
ananikumbusha kipindi cha chama kimoja Tuntemeke Sanga alimjubu mpiga kura kuwa kura yake moja tu haitamsaidia
khaa hawa CCm wanachezea muda na pesa za walipa kodi huyu wassira muda wa kukaa ofisini kama waziri anaenda kwenye kampeni???
Aliahidi atatembea uchi wa mnyama toka Ubungo hadi Posta. Magwanda atavaa akishafika posta!Mwita25 wewe bado umelala amka kumekucha, uone moto wa Igunga, hivi ulisema utavaa Gwanda???????????