I feel very sorry to say, " his kind of politician + Government official that i dont admire at all, honest his appearance has nothing to do with my comments.
anyway maybe wakazi wa igunga will judge him otherwise, best wishes
Hivi huyo muuliza swali alitegemea jibu gani? Mzee mzima anajua fika kuwa wana siasa uchwara. Lakini je ana ubavu wa kukiri hilo kwa watu anaowaomba kura?
Hivi huyo muuliza swali alitegemea jibu gani? Mzee mzima anajua fika kuwa chama cha magamba kina siasa uchwara. Lakini je ana ubavu wa kukiri hilo kwa watu anaowaomba kura?
CCM ni mambumbu wa kusoma alama za nyakati siku zote,Wasira alikuwa anafikiri anaongea na mahawara wake pale.Huyu mzee anatakiwa kujiuzulu hana analofanya zaidi ya kuropoka na kutumia nguvu mahali panapohitaji kujibu hoja kwa akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.