TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,690
- 11,028
ndio maana nikasema slaa aongee kwanza na mkewe, na mke akisema no... basi anaamua kukaukia ishu au kumuombea msamaha manyanya kwa kuropoka mambo ya jikoni bungeniManyanya hajaelezea kinagaubaga chanzo cha kutumiana sms na mke wa slaa, sasa from nowhere unamtaka slaa ajitokeze kuclarify kitu gani??
Hapa ilitakiwa manyanya atueleze kikamilifu sakata lote ndipo tuseme kwamba slaa anatakiwa kuclarify ama josephine mwenyewe anatosha kuclarify.
Si kila jambo analofanya mkeo lazima ufahamu ama ulitolee maelezo, kumbuka huu ni mchezo wa kisiasa, slaa anawanyima usingizi wanamagamba kwahiyo hawaoni shida kuzusha lolote dhidi yake ama dhidi ya mtu wa familia yake.