Stella Manyanya amkaba koo Dr Slaa

Hivi hana mume huyu?

baada ya report ya RICHMOND, alifuatwa akapigwa mkwara mzito kweli kweli ikabidi akiachie chote km adhabu ya kujiingiza kwenye game, huoni asaivi yupo mrengo mwingine kabisa? wee unacheza na mapacha 3 nini???
 
simpo sana mwalimu

kama ni mimi ntasimama, ntaomba ruhusa ya kuongea na nitasema kwamba ni kweli kumekua na majibishano kati ya hao wawili and it was more personal au yanahusiana na "mambo yao" ambayo hayana tija kwangu na kwa taifa... na nimemkanya mchumba wangu aache hayo mawasiliano kwani watanzania wanahitaji maendeleo na sio malumbano ya kike

vilevile ntamshauri stella aache kujibishana (kama na yeye hujibu) na atafute muda wayajadili na kuyamaliza kikubwa kwani wote ni watu wazima na wenye heshima zao....

Mwisho nitaomba msamaha kwa wabunge kwamba mambo ya personal sms hayana tija kwa taifa na kama kila mtu angeanza kusema sms anazotumiwa na mwingine basi bunge lingegeuka "kanga moko laki si pesa"

He he he haya bwana ila wanawake wa siku hizi hawataki kusemewa mambo Yao kwa kuwa wenyewe wanaamini wanaweza.

Na on top sio wanawake wengi wanaoweza kuridhia kutangaziwa kuwa wamefanya makosa na kukanywa!
 
Swali kwa Ir Manyanya. Una mme?
Swali tena kwa Ir Manyanya unamtamani Dr Slaa?
Nimeamini, ccm inachakachua akili za wasomi. Hata hivyo sishangai Tanesco kuwa kama ilivyo kama kweli wewe dada ulikuwa engineer pale! Ninaanza kuwa na shaka na elimu yako!
Duu bange hiloo aaah sorry BUNGE HILO!
Hv jamani kuna sehemu yenye pumba kama bungeni??
mmh hata MS anafikilia sana yaani wabunge woote wamagamba mwenye point ni Lowasa!!
Hawa watu sijui wamelogwa, wadau mseme kama kunamtu mwingine toka ccm mwenye point!
Yaani mahali pale panaonekana kama KIJIWE FLANI CHA MAPUNGUANI!
 
Kama watu wanapata uchungu kwa kumsingizia Kikwete kama nilivyopata uchungu kwa huyu mama kumsingizia Dr. Hakika ukweli ni kitu kinachosafisha sana nafsi. Popote nitakapo mwona huyu mama nitamtema mate. Hafai, hata kidogo.
 
Nope, i am just wishing slaa to be a man enough to ask his wife and clarify the matter... if he leaves this to josephine yanaweza kuishia kwenye mipasho ya wanawake

that is the stand i would take being a leader and the head of family...

Manyanya hajaelezea kinagaubaga chanzo cha kutumiana sms na mke wa slaa, sasa from nowhere unamtaka slaa ajitokeze kuclarify kitu gani??

Hapa ilitakiwa manyanya atueleze kikamilifu sakata lote ndipo tuseme kwamba slaa anatakiwa kuclarify ama josephine mwenyewe anatosha kuclarify.

Si kila jambo analofanya mkeo lazima ufahamu ama ulitolee maelezo, kumbuka huu ni mchezo wa kisiasa, slaa anawanyima usingizi wanamagamba kwahiyo hawaoni shida kuzusha lolote dhidi yake ama dhidi ya mtu wa familia yake.
 
Sasa Dr Slaa siyo mbunge atamjibu wapi au itabidi alidi jimboni kwa Stalla akamchane huko huko...
 
Kwa kweli ameshtua kila mtu.

Pamoja na kwamba pengine huyo Dada Josephine anaweza kuwa na mapungufu yake lakini sioni umuhimu wa mtu msomi kusema aliyoyasema bungeni.mimi sipendi siasa za aina hii,hii ni suicidal. Lakini lengo nadhani lilikuwa tu kupitisha point,inabidi josephine kama kweli ana tabia hiyo basi aache kwani atamuharibia Slaa na haijulikani kesho magazeti yataanza kuandika nini.

Labda suala la Zitto kuongezewa mda na spika limeze vichwa vya habari vya aina hii vinginevyo ingekuwa worse
 
Manyanya hajaelezea kinagaubaga chanzo cha kutumiana sms na mke wa slaa, sasa from nowhere unamtaka slaa ajitokeze kuclarify kitu gani??

Hapa ilitakiwa manyanya atueleze kikamilifu sakata lote ndipo tuseme kwamba slaa anatakiwa kuclarify ama josephine mwenyewe anatosha kuclarify.

Si kila jambo analofanya mkeo lazima ufahamu ama ulitolee maelezo, kumbuka huu ni mchezo wa kisiasa, slaa anawanyima usingizi wanamagamba kwahiyo hawaoni shida kuzusha lolote dhidi yake ama dhidi ya mtu wa familia yake.
labda nae alikuwa anawania nawasi ya Josephine...haingii akili mtu kuanza kutumia message za matusi bila sababu yoyote ya msingi
 
Nope, i am just wishing slaa to be a man enough to ask his wife and clarify the matter... if he leaves this to josephine yanaweza kuishia kwenye mipasho ya wanawake

that is the stand i would take being a leader and the head of family...

Mkuu sometimes hizi petty things ni busara kuziacha kuliko kuzijibu..., kujibu hizi tuhuma kwa Dr. zitaweza kufanya issue iwe kubwa zaidi Mrs wake ni grown-up na anao mdomo so anaweza akafight her own battles so kama ni kujibu its up to her na sio mume wake... sababu Dr. akijibu atakuwa amejiweka katika ya vita vya panzi ambavyo sijui vitamnufaisha nani
 
yawezekana pia ujazo hauna upumbavu na uelewa usio na uelewa ukakuyumbisha kwenye kudadisi na kuchanganua....hakuna watu waliowahi kuandama nchi hii kama wanaCCM, tatizoi ni kwamba nyani haoni kunduleat times wapumbavu kama "mimi na wewe" huwa tunashindwa kuelewa simpo theories za productivity na motivation and how we can use demonstration as a driver for productivity, including maanamanobut anyway, nisijeleta sokomoko kwa sokomoko mwenye uelewa wa ki-sokomoko na kuishia kuwa kisononoThanks
Ths country without demonstration mambo meng hayatimizwi so kuandamana, kugoma ndio kwenyewe! Cjui niseme ni coincidens au ndivyo walivyo hawa the so cold engneers?....wanaongeaga chenga sana jameni! I knw one dada (LJM)ambae ni hydro eng.ni upupu kweli ktk kutoa hoja!
 
Hivi hawa nao si binadamu kama wewe na mimi? Kwangu tatizo sio sms ila kuipeleka bungeni wakati wa kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu. Inaathiri vipi maendeleo ya watu?
ni kweli kabisa na ndio maana nikasema slaa aombe tu radhi kwa mambo ya binafsi kusemwa bungeli, tena na injinia stella

this will degrade even further huyo stella kwa kuombewa msamaha na dr slaa

the whole sms thing was uncalled for....
 
Stella got it wrong on Slaa kuhamasisha wananchi wasifanye kazi, sijawahi sikia huu upuuzi, lakini suala la sms naomba tusianze kurusha mawe, slaa is a member of JF, so he can as well clarify kuhusu sms kutoka kwa josephine...
Josephine ni memba hapa vilevile...
 
Ths country without demonstration mambo meng hayatimizwi so kuandamana, kugoma ndio kwenyewe! Cjui niseme ni coincidens au ndivyo walivyo hawa the so cold engneers?....wanaongeaga chenga sana jameni! I knw one dada (LJM)ambae ni hydro eng.ni upupu kweli ktk kutoa hoja!
thanks buddy, sasa walio jikoni hawataki
 
kWA akili yangu ya kawaida ambayo haijapata kupanuka sana na kuitwa injinia,kwanza yule SI mchumba wa slaa ni mke halali mana sheria inaliweka hili wazi.

Pili stella MATOMATO ni mpuuzi mana cjawai ona tamko hata moja la Dr. Kuwakataza watu kufanya kazi.

Tatu sio lazima mwanaCCM ukitaka kung' aa bungeni ukipake matope chadema,jana beatrice shelukindo kaiDISI jF leo Dr slaa Kadisiwa na Stella MATOMATO.inamana Ccm Haina hoja ya msingi?

Ushauri;ccm mnakufa na mnajitaidi kuwapaka matope wengine.kawadanganyeni wazungu wabongo wameshawashtukia.

Viva CHADEMA,UMMA UTASHINDAA!!
 
Duu bange hiloo aaah sorry BUNGE HILO!
Hv jamani kuna sehemu yenye pumba kama bungeni??
mmh hata MS anafikilia sana yaani wabunge woote wamagamba mwenye point ni Lowasa!!
Hawa watu sijui wamelogwa, wadau mseme kama kunamtu mwingine toka ccm mwenye point!
Yaani mahali pale panaonekana kama KIJIWE FLANI CHA MAPUNGUANI!

lowasa kichwa wewe! kichwa cha lowasa ni sawa na wanachama wote wamagamba, sasa unatarajia nani wakumzidi pale? km ni raisi kamuweka yeye, km ni spika kamuweka yeye, kama ni mawaziri kawaweka yeye, kama ni katibu mkuu wa magamba kamuweka yeye, acha kabisa mkuu, zile level za kina George Bush.
 
Josephine ni memba hapa vilevile...
sikujua!!

but its ok coz injinia nyanya alimtarget slaa when delivering the sms punch so it would be more appropriate slaa kuweza kujibu kwa kumuombea msamaha kwani hajui alitendalo kwa kuleta ushambenga bungeni

aisee mimama inasutana halafu mmoja anakimbilia bungeni kulalama, mambaff kabisa
 
kWA akili yangu ya kawaida ambayo haijapata kupanuka sana na kuitwa injinia,kwanza yule SI mchumba wa slaa ni mke halali mana sheria inaliweka hili wazi.

Pili stella MATOMATO ni mpuuzi mana cjawai ona tamko hata moja la Dr. Kuwakataza watu kufanya kazi.

Tatu sio lazima mwanaCCM ukitaka kung' aa bungeni ukipake matope chadema,jana beatrice shelukindo kaiDISI jF leo Dr slaa Kadisiwa na Stella MATOMATO.inamana Ccm Haina hoja ya msingi?

Ushauri;ccm mnakufa na mnajitaidi kuwapaka matope wengine.kawadanganyeni wazungu wabongo wameshawashtukia.

Viva CHADEMA,UMMA UTASHINDAA!!

umeenda mbali sana mkuu, eng. stella alimuomba Dr. wa ukweli ushirikiano Dr. akamtosa akafuata kifaa cha ukweli ndo chuki zikaanzia hapo, na mh. shelukindo naye aliomba ushirikiano na Rev. masanilo wa hapa JF akatoswa ndo maana akai'dis JF jana, kazi tunayo mwaka huu.
 
Back
Top Bottom