zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
Hivi hana mume huyu?
baada ya report ya RICHMOND, alifuatwa akapigwa mkwara mzito kweli kweli ikabidi akiachie chote km adhabu ya kujiingiza kwenye game, huoni asaivi yupo mrengo mwingine kabisa? wee unacheza na mapacha 3 nini???