TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Soma hapa chini... Usianzishe malumbano...
Thanks bro... one love, siasa zisitugombanishe bali zinatakiwa zituchangamshe
kudos
Soma hapa chini... Usianzishe malumbano...
Pengine anamhitaji Daktari!Amtoe wapi!
hahaaah.kibunango banaAlcohol doesn't solve any problem,
But, if you think again, neither does milk.
sasa tujadili nini? umeme tunaoungoja 2015? my footJamani tukianza kujadili nani kamtukana nani kwa sms sidhani kama tutafika..........miaka 50 ya uhuru hii,still debating on who insults who?
Jamani tukianza kujadili nani kamtukana nani kwa sms sidhani kama tutafika..........miaka 50 ya uhuru hii,still debating on who insults who?
Stella Manyanya atema cheche Bungeni akimtuhumu Dr Slaa kwa kuwafundisha wananchi wasifanye kazi wakati yeye amewahamasisha wananchi wa kijiji chake (hakukitaja) wajitolee kufanya kazi za maendeleo, anasema ameudhiwa sana na kauli ya Dr Slaa kuwaambia wananchi wakisikia harufu ya chakula kizuri basi kinakuwa kimepikwa kwa mbunge.
Pia amemuonya anayeitwa Mchumba wa Dr Slaa kwa kumuandikia SMS za kumtukana, anasema eti alifuatilia hizo SMS akakuta zimetoka kwa Josephine Emmanuel.
Najiuliza hivi wabunge wa CCM hawana mambo ya kuchangia zaidi yakuingiza personalities?
Mtani....Sidhani kama mama Josephine ana haja ya kusema lolote hapa......Cha msingi apuuze tu na thread ifungwe maana tunakoelekea ni kuanza kujadili mambo ambayo hayafai kujadiliwa hapa......Bala....jose say something here
mtani sitaki mama aingie kwenye malumbano...ila nilichokua naomba ashakifanya..mama asante.tunaomba usijibu mtu mwingine tena..tushapata picha kamili.ubarikiweMtani....Sidhani kama mama Josephine ana haja ya kusema lolote hapa......Cha msingi apuuze tu na thread ifungwe maana tunakoelekea ni kuanza kujadili mambo ambayo hayafai kujadiliwa hapa......Bala....
Ni kweli nilimtumia msg.nilimwambia hivi.
Apunguze ushabiki na unafiki anapokuwa anazungumzia hoja bungeni kwani hata katika kijiji chake watu ni masikini sana badala yake aongee uhalisia na si nadharia.Anadhalilisha fani yake.
Hii ni baada ya mimi kwenda kijijini kwake.
she can prove me wrong.
Ni kweli nilimtumia msg.nilimwambia hivi.
Apunguze ushabiki na unafiki anapokuwa anazungumzia hoja bungeni kwani hata katika kijiji chake watu ni masikini sana badala yake aongee uhalisia na si nadharia.Anadhalilisha fani yake.
Hii ni baada ya mimi kwenda kijijini kwake.
she can prove me wrong.
Kwa nini usingemsema kwa kupitia jukwaa?...Nadhani ujumbe ungemfikia kwa urahisi zaidi......Btw......Kuna watu wameshaanza kutafsiri mengine hapa kwamba huenda kuna 'conflict of interest' kati yako na mhe. mbunge ndiyo maana wewe ukamtumia ujumbe.....Ni kweli nilimtumia msg.nilimwambia hivi.Apunguze ushabiki na unafiki anapokuwa anazungumzia hoja bungeni kwani hata katika kijiji chake watu ni masikini sana badala yake aongee uhalisia na si nadharia.Anadhalilisha fani yake.Hii ni baada ya mimi kwenda kijijini kwake.she can prove me wrong.
kazi kwisha!!!Ni kweli nilimtumia msg.nilimwambia hivi.
Apunguze ushabiki na unafiki anapokuwa anazungumzia hoja bungeni kwani hata katika kijiji chake watu ni masikini sana badala yake aongee uhalisia na si nadharia.Anadhalilisha fani yake.
Hii ni baada ya mimi kwenda kijijini kwake.
she can prove me wrong.
hapana swahiba.... the approach she used was right kwani hakutaka yawe haya, ila kale ka manyanya kameyaleta kenyeweKwa nini usingemsema kwa kupitia jukwaa?...Nadhani ujumbe ungemfikia kwa urahisi zaidi......Btw......Kuna watu wameshaanza kutafsiri mengine hapa kwamba huenda kuna 'conflict of interest' kati yako na mhe. mbunge ndiyo maana wewe ukamtumia ujumbe.....
wewe nawe wa wapi?ni wewe kweli? km ni wewe mama basi nina wasi wasi huenda mna bifu lingine tofauti na huyu mama, km sio basi punguza kiherehere maana hadhi ya Dr. itakuwa inaharibiwa na hwa mavuvuzela wa CCM, vp, umeshajifungua?