Nope, i am just wishing slaa to be a man enough to ask his wife and clarify the matter... if he leaves this to josephine yanaweza kuishia kwenye mipasho ya wanawakeKama nimekuelewa vizuri unataka Dr. Slaa amsemee mchumba wake?? assuming ni kweli Josephine alituma hizo sms, je ni lazima Dr. Slaa atakuwa aliziona ama unataka kusema ndiye alimtuma??
Hebu kuwa serious kidogo mkuu.
Nope, i am just wishing slaa to be a man enough to ask his wife and clarify the matter... if he leaves this to josephine yanaweza kuishia kwenye mipasho ya wanawake
that is the stand i would take being a leader and the head of family...
Stella Manyanya atema cheche Bungeni akimtuhumu Dr Slaa kwa kuwafundisha wananchi wasifanye kazi wakati yeye amewahamasisha wananchi wa kijiji chake (hakukitaja) wajitolee kufanya kazi za maendeleo anasema ameudhiwa sana na kauli ya Dr Slaa kuwaambia wananchi wakisikia halufu ya chakula kizuri basi kinakuwa kimepikwa kwa mbunge,pia amemuonya anayeitwa Mchumba wa Dr Slaa kwa kumuandikia SMS za kumtukana,anasema eti alifuatilia hizo SMS akakuta zimetoka kwa Josephine Emmanuel
Najiuliza hivi wabunge wa CCM hawana mambo ya kuchangia zaidi yakuingiza personalities
Sio bure Stella Manyanya na Josephine kuna kitu!! Ilikuaje mpaka wakawa wanatukanana kwenye sms? Sisi wote ni watu wazima tafakari
Sio bure Stella Manyanya na Josephine kuna kitu!! Ilikuaje mpaka wakawa wanatukanana kwenye sms? Sisi wote ni watu wazima tafakari
simpo sana mwalimuHebu suppose kuwa Josephine amemuandikia kweli Stella hizo SMS, Dr.Slaa akamuuliza na akajibiwa kuwa kweli amemuandikia unategemea kuwa Slaa atakuja hapa akiri hilo?
Hoja mezani ni hotuba ya Waziri Mkuu. Sasa Josephine aningia vipi hapo? Wabunge wengine bwana? Huyu Mama amefilisika baada ya hoja yao ya kudandia ya ufisadi kukosa mshiko.bunge la mwaka huu, hivi wanajadili bajeti au sms kutoka kwa josephine, nachoka mwenzenu sijui yatakwisha lini haya.
Stella got it wrong on Slaa kuhamasisha wananchi wasifanye kazi, sijawahi sikia huu upuuzi, lakini suala la sms naomba tusianze kurusha mawe, slaa is a member of JF, so he can as well clarify kuhusu sms kutoka kwa josephine...
Ni kweli Stella alikuwa anammendea Dr wa ukweli, Josephine alpogundua akaamua kumtolea uvivu, stella nae hasira za kutukanwa na josephine anaenda kuzitolea bungeni, badala ya kujadili budget anajadili isue zake binafsi...
yawezekana pia ujazo hauna upumbavu na uelewa usio na uelewa ukakuyumbisha kwenye kudadisi na kuchanganua....Kweli upumbavu hauna ujazo kuwaambia watu waandamane na kuacha shughuli zao ni sawa na kuwahamasisha wasifanye kazi.
Hivi hawa nao si binadamu kama wewe na mimi? Kwangu tatizo sio sms ila kuipeleka bungeni wakati wa kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu. Inaathiri vipi maendeleo ya watu?simpo sana mwalimu
kama ni mimi ntasimama, ntaomba ruhusa ya kuongea na nitasema kwamba ni kweli kumekua na majibishano kati ya hao wawili and it was more personal au yanahusiana na "mambo yao" ambayo hayana tija kwangu na kwa taifa... na nimemkanya mchumba wangu aache hayo mawasiliano kwani watanzania wanahitaji maendeleo na sio malumbano ya kike
vilevile ntamshauri stella aache kujibishana (kama na yeye hujibu) na atafute muda wayajadili na kuyamaliza kikubwa kwani wote ni watu wazima na wenye heshima zao....
Mwisho nitaomba msamaha kwa wabunge kwamba mambo ya personal sms hayana tija kwa taifa na kama kila mtu angeanza kusema sms anazotumiwa na mwingine basi bunge lingegeuka "kanga moko laki si pesa"
Wavua magamba watasema haka kamama kanatafuta umaarufu kwa mgongo wa Dr.Slaa