Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,450
- 25,591
Nikadhani kuna kitu cha maana unachangia kumbe ni blah blah za kutaka sympathySasa hapo Katoliki limeingiaje? Aisee Muombe sana Roho Mtakatifu akusaidie jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia ina aina yake ya uandishi......Sasa mbona kwa agano la kale mnachomoa chomoa machache mnayoyapenda peke yake?? Kwanini msibebe yote...maana ni NENO LA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nilisema kusoma biblia ni jambo moja na kuielewa ni jambo la pili. Mr otorong'ong'o unapotea huku ukijiona wajua kumbe hujui kitu.Unashangaa nini sasa...Bikira Maria mama Wa Yesu ni mmoja wa Watskatifu....na Watakatifu kazi yao ni kutuombea....
Ufunuo wa Yohana 5:8
Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Ukatoliki ndiyo ukrito wenyewe.Nadhani mjinga ni wewe usiyejua kuwa ukatoliki ndiyo ukristo wenyewe! Wengine wote ni feki!
Niwasaidie wewe na faiza.Punguza hasira bibie!
Umeandika kuwa, Yeye Mwenyewe (Mungu) hamjaribu mtu; kisha nikatoa mifano ya Ayubu na Ibrahim/Abraham kuwa walijaribiwa. Kataa kama hujaandika hivyo.
Je walijaribiwa au hawakujaribiwa?
Kabla ya hapo, niliandika kuwa Yesu(binadamu?) alijaribiwa na shetani lkn ushawishi wake uligonga mwamba ndipo Yesu alipomwambia shetani kuwa "... tena usimjaribu Mungu Bwana Mungu wako". C.f Mathayo 4:7
Nimekusukumia moto kuwa, ni nani hapa aliyekuwa akijaribiwa?
Kwanini Yesu hakusema shetani achana na Mimi, husinijaribu?
Sent using Jamii Forums mobile app
We Rafiki biblia huielewi kabisa,yaelekea wewe ni padre au askofu. Yaani mwepeee!Unashangaa nini sasa...Bikira Maria mama Wa Yesu ni mmoja wa Watskatifu....na Watakatifu kazi yao ni kutuombea....
Ufunuo wa Yohana 5:8
Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Unachekesha,umeshasoma mahubiri ya Yesu na mitume? Yesu aliwaambia wayahudi alisema ENYI UZAO WA NYOKA NINANI ALIYEWAAMBIA MUIKIMBIE HUKUMU ITAKAYO KUJA? BASI ZAENI MATUNDA YAPASAYO TOBA.Je kuna neno baya kama kuitwa uzao wa nyika,JE ALIWAHUKUMU?Mkuu umesema vizuri, lakini pia ni vyema sana na tena ni uungwana Kuheshimu watu wengine wanaamini nini? na ndio maana Hata wanaohubiri njia panda/ mitaani huwa hawalazimishi mtu kitu wao watasema Habari za Ufalme wa Mungu kisha wahusika anayekubali atamfuata, otherwise watu wengine wataendelea na shughuli zao pasi na kulazimishwa.
Kwa ujinga huu utaongea mambo ya Mungu? Wanakufa watu wa maana shetani na wafuasi wake mnaachwaje? Pole sanaAhsante dada. Shemeji hajambo? Amekupa cha asubuhi?
Hakikisha muda wote unachezea mshedede wa shemeji kipindi hiki yuko likizo. Hakikisha hadi likizo inaisha amekujaza mimba nyingine ya mdogo wake na junior.
Mungu gani? Mungu hayupo achana na hadith za kijinga, eti mungu, ndie kitu gani?Kwa ujinga huu utaongea mambo ya Mungu? Wanakufa watu wa maana shetani na wafuasi wake mnaachwaje? Pole sana
Naona najidiliana na tahira kama si punguani...We Rafiki biblia huielewi kabisa,yaelekea wewe ni padre au askofu. Yaani mwepeee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu wa rohoni ni mtu gani..? Yupoje? Anafananaje...??KWA SISI WATU WA ROHONI
Nani kakudanganya...??Anaposema maombi ya watakatifu ana maana ya watu wanaomcha Mungu hapa duniani.
MODS UZI HUU MSIUONDOE WALA MSIUNGANISHE TUPATE MUDA WA KUINGIA KWENYE MAANDIKO TUWAPE VIFUNGU ILI WAKAE SAWA.
Ukristo ni kumwabudu Mungu kupitia Yesu Kristo. Na wafuasi wa Kwanza wa Yesu Kristo ni Wakatoliki! Wengine wote wameasi kutoka Ukatoliki!
Nje ya swali!! Ukristo maana yake nn?Ukristo ni kumwabudu Mungu kupitia Yesu Kristo. Na wafuasi wa Kwanza wa Yesu Kristo ni Wakatoliki! Wengine wote wameasi kutoka Ukatoliki!
Hiyo ndiyo maana halisi. Shida mliyonayo sanamu zimewapofusha.Nani kakudanganya...??
Utasema yote, subiri tuWe Kijana naona nikama umedandia tren kwa mbele.....
Ok!! Ngoja nione
Nipo...
Nimekuuliza nani kakudanganya....??? Stick to the question...
Jb swali vinginevyo nitakuona majinuni. NINI MAANA YA UKRISTONimekuuliza nani kakudanganya....??? Stick to the question...
Kwani hiyo imani inayojaribiwa inakuwa ndani ya jiwe au binadamu. Anayejaribiwa ni binadamu. "Lakini Yeye aijua njia niendeayo; Akisha KUNIJARIBU nitatoka kama dhahabu" - Ayubu 23:10Niwasaidie wewe na faiza.
KWA SISI WATU WA ROHONI FUNDISHO HILI LINATAFSIRIWA HIVI:
MUNGU HUWA HAMJARIBU BINAADAM,BALI HUIJARIBU IMANI YA HUYO BINAADAM KUWA IKO THABITI.
HAIYUMBI. NDIYO MAANA MAHALI PENGINE ANASEMA AMJARIBUPO MTU HUTOA NA MLANGO WA KUTOKEA KTK JARIBU LAKE. BAHATI MBAYA NIKO MBALI NA BIBLIA NINGEWAPA NA MAANDIKO.
SHETANI HUMJARIBU MTU ILI AANGUKE KTK DHAMBI.
Sent using Jamii Forums mobile app