JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,559
Vipi mliona kombe la dunia!?Wataonyesha mkuu ila unatakiwa ulipe kifurushi cha zaidi ya elfu 15
Vipi mliona kombe la dunia!?Wataonyesha mkuu ila unatakiwa ulipe kifurushi cha zaidi ya elfu 15
Nilidhani tatizo la dish langu ila naona channels nyingine iko poa isipokuwa ITV na EATV.Channel za ITV na EATV zinascramble sana hasa nyakati za jioni kuanzia saa 10:00 na kuendelea, hili ni tatizo lao au lenu kama washitili?
Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni
Niko kemondo kagera sioni chanel za ndani namba ya kad 01819189893Mie nimesahau nambari yangu ya siri, hivyo nikiingia pale setting nashindwa kupata access, msaada wenyu tafadhali
Wapigie +255677700800Niko kemondo kagera sioni chanel za ndani namba ya kad 01819189893
Kwani ulinunua mtaani au kwa wakala,mimi nilinunua kwa wakala na kuisajili hapohapo kazi angu ni fundi kuifunga na kuendelea kuaangalia channels mbalinbali.Mwenye namba ya wakala yeyote jamani naomba anisaidie kunisajilia king'amuzi cha startime
Ww ulinunua Kwa chokoraa auStartime mawaka la wenu wanazingua kunisajilia king'amuzi changu imagine toka mchana nimeshafunga kingamuzi mpk sasa naambiwa niendelee kusubiri chennel zitakuja tu duh. Ndo huduma zenu ziko hivo au. Nikiwapigia simu mnisajilie mnaniambia nyie hamuwezi sasa kama hamuwezi mnafanya nn ofisini. Nyie ni mbadala wa wakala lakini mnaniambia hivo mi naishije sasa
Kwa anae taka kuwa wakala wa startimes aanze wapiHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Mbona hiyo KBC ipo, mi kuna muda huwa ninaitizama.Tunaomba tv ya kbc iongezwe kwenye kingamuzi chenu pamoja na tv za uganda kama sbc