Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Unashangaa nini sasa...Bikira Maria mama Wa Yesu ni mmoja wa Watskatifu....na Watakatifu kazi yao ni kutuombea....

Ufunuo wa Yohana 5:8
Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Ndiyo maana nilisema kusoma biblia ni jambo moja na kuielewa ni jambo la pili. Mr otorong'ong'o unapotea huku ukijiona wajua kumbe hujui kitu.
Mungu ni roho na wamwabudu imewapasa kumuabudu ktk roho na kweli.
Anaposema maombi ya watakatifu ana maana ya watu wanaomcha Mungu hapa duniani. Wanapomuomba Mungu maombi hayo humfikia kwa mungu kwa njia hiyo. Niambie ktk kifungu hicho ni wapi pameonyesha watakatifu watuombee. NDIYO MAANA TUNASEMA WAROMANI KATOLIKI MNAMWABUDU MUNGU KWA AKILI,SIYO KWA ROHO.
HATA MKIULIZWA TAFSIRI YA ROHO HAPO NDIYO MNAPOTEA KABISA.
MKIULIZWA MAMBO YA KUJAZWA ROHO MTAKATIFU,MAJIBU MTAYAFINYANGA FINYANGA TU. MODS UZI HUU MSIUONDOE WALA MSIUNGANISHE TUPATE MUDA WA KUINGIA KWENYE MAANDIKO TUWAPE VIFUNGU ILI WAKAE SAWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza hasira bibie!
Umeandika kuwa, Yeye Mwenyewe (Mungu) hamjaribu mtu; kisha nikatoa mifano ya Ayubu na Ibrahim/Abraham kuwa walijaribiwa. Kataa kama hujaandika hivyo.
Je walijaribiwa au hawakujaribiwa?

Kabla ya hapo, niliandika kuwa Yesu(binadamu?) alijaribiwa na shetani lkn ushawishi wake uligonga mwamba ndipo Yesu alipomwambia shetani kuwa "... tena usimjaribu Mungu Bwana Mungu wako". C.f Mathayo 4:7
Nimekusukumia moto kuwa, ni nani hapa aliyekuwa akijaribiwa?
Kwanini Yesu hakusema shetani achana na Mimi, husinijaribu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Niwasaidie wewe na faiza.
KWA SISI WATU WA ROHONI FUNDISHO HILI LINATAFSIRIWA HIVI:

MUNGU HUWA HAMJARIBU BINAADAM,BALI HUIJARIBU IMANI YA HUYO BINAADAM KUWA IKO THABITI.
HAIYUMBI. NDIYO MAANA MAHALI PENGINE ANASEMA AMJARIBUPO MTU HUTOA NA MLANGO WA KUTOKEA KTK JARIBU LAKE. BAHATI MBAYA NIKO MBALI NA BIBLIA NINGEWAPA NA MAANDIKO.
SHETANI HUMJARIBU MTU ILI AANGUKE KTK DHAMBI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unashangaa nini sasa...Bikira Maria mama Wa Yesu ni mmoja wa Watskatifu....na Watakatifu kazi yao ni kutuombea....

Ufunuo wa Yohana 5:8
Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.
We Rafiki biblia huielewi kabisa,yaelekea wewe ni padre au askofu. Yaani mwepeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesema vizuri, lakini pia ni vyema sana na tena ni uungwana Kuheshimu watu wengine wanaamini nini? na ndio maana Hata wanaohubiri njia panda/ mitaani huwa hawalazimishi mtu kitu wao watasema Habari za Ufalme wa Mungu kisha wahusika anayekubali atamfuata, otherwise watu wengine wataendelea na shughuli zao pasi na kulazimishwa.
Unachekesha,umeshasoma mahubiri ya Yesu na mitume? Yesu aliwaambia wayahudi alisema ENYI UZAO WA NYOKA NINANI ALIYEWAAMBIA MUIKIMBIE HUKUMU ITAKAYO KUJA? BASI ZAENI MATUNDA YAPASAYO TOBA.Je kuna neno baya kama kuitwa uzao wa nyika,JE ALIWAHUKUMU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante dada. Shemeji hajambo? Amekupa cha asubuhi?

Hakikisha muda wote unachezea mshedede wa shemeji kipindi hiki yuko likizo. Hakikisha hadi likizo inaisha amekujaza mimba nyingine ya mdogo wake na junior.
Kwa ujinga huu utaongea mambo ya Mungu? Wanakufa watu wa maana shetani na wafuasi wake mnaachwaje? Pole sana
 
Niwasaidie wewe na faiza.
KWA SISI WATU WA ROHONI FUNDISHO HILI LINATAFSIRIWA HIVI:

MUNGU HUWA HAMJARIBU BINAADAM,BALI HUIJARIBU IMANI YA HUYO BINAADAM KUWA IKO THABITI.
HAIYUMBI. NDIYO MAANA MAHALI PENGINE ANASEMA AMJARIBUPO MTU HUTOA NA MLANGO WA KUTOKEA KTK JARIBU LAKE. BAHATI MBAYA NIKO MBALI NA BIBLIA NINGEWAPA NA MAANDIKO.
SHETANI HUMJARIBU MTU ILI AANGUKE KTK DHAMBI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hiyo imani inayojaribiwa inakuwa ndani ya jiwe au binadamu. Anayejaribiwa ni binadamu. "Lakini Yeye aijua njia niendeayo; Akisha KUNIJARIBU nitatoka kama dhahabu" - Ayubu 23:10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom