Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Aliyemuua Mtikila ni yule mzee anayejinyea kwenye nguo, huyo mzee wa kujinyea ni mshirikina sana tena sana. Tazama watu wanaomshabikia, wako kama wamepumbazwa akili zao kishirikina, waangalie vizuri hawajui wanashabikia nini yaani wako kama Manyumbu tu. Mimi simuogopi hata kidogo huyo mzee wa kunya kwenye nguo na wala siogopi kufa. Huyo mzee ndio amesababisha kifo cha Mtikila halafu misukule wake wanaandika humu JF eti ni mpango wa Mungu. Endeleeni kumsingizia Mungu na vitu msivyovijua.

atakuwa rais kuhusu kunya nawe kunya kama unaona wivu hayo mengine nadhani ID yako na msaada wa mods utatusaidia kuchukua ushahin mana unanekana kujua kila kitu
 
Ama kweli tumwache tu MUNGU MWENYE ENZI YOTE aitwe MUNGU maana njia zake na mawazo yake siku zote hayachunguziki!!

Sikufikiri kama mtu mwenye "afya yake kamili" kama Rev. Mtikila anaweza kufa na kuwaacha wagonjwa mahututi wakiishi na kupumua wakifurahia utukufu na uumbaji wa Mungu!!

Kwa kweli kuna kubwa sana la kuendelea kujifunza hapa kwetu sisi kama binadamu tulioumbwa kwa udongo!

Na ni kweli kabisa kuwa "ajidhaniaye amesimama, basi na aangalie asianguke"

R.I.P Rev. Christopher Mtikila wa FULL SALVATION CHURCH, umemaliza kazi yako hapa duniani

Nakubaliana nawe
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Niliishaifuta kama nilivyoifuta TBCCM
 
Star tv na dialo iyooo trh 25 inakaribia jiandaeni full cod inawahusu maana ccm ipo icu
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

na wasahau kabisa kama wanaweza kupata "Superbrand"maisha yao yote
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Labda muwaue watanzania woooote ndo mtaweza kwenda Ikulu la sivyo watakufa wachache na wengi watabaki kuilinda nchi yao dhidi ya majizi yenu
 
Ah usilolijua ni kama...wa giza. siku chache zilizopita ktk TV fulani Mtikila alihojiwa juu ya mipango yake ya kuongoza nchi hii ya Tz, akasema alipokuwa nje ya nchi alioneshwa na Mungu kuwa yeye ndye atakuwa rais wa Tz. Sasa swali ni je huyo mungu alikuwa mwongo? Au hyo Tz aliyoambiwa ni hyo ya makao mapya. anyway tujfunze kumheshimu Mungu mkuu
 
Ujumbe huu hakikisha na rafiki yako Yeriko Nyerere anaupata.

Kuna ule Uzi wake kuwa Mhe. Magufuli ana matatizo makubwa ya moyo wakati wowote utasimama (wataalamu vuteni ule uzi). Aidha alisisitiza kuwa remote ya moyo wa JPM iko nje wakibonyeza tuu ameondoka.

Queen Esther

Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.
 
chunga kauli lowassa ni haonewi na kusemwa ovyo waulize wanaomsema vibaya wako wapi viva lowassa piga kazi usimjibu mtu mungu atawajibu

Hakuna udini ukanda ukabila wala undugu hapo watu wanaendekeza njaa tu kutukana wengine waache kabisa
 
Kuna watu wana roho mbaya sana. Narudia hakuna anae ijua kesho. Jitahidi kutukana sana kama unaona inafaa lkn siku ya mwisho kuna hesabu yake. Tujitahidi kutunza vyinywa vyetu
 
Ujumbe huu hakikisha na rafiki yako Yeriko Nyerere anaupata.

Kuna ule Uzi wake kuwa Mhe. Magufuli ana matatizo makubwa ya moyo wakati wowote utasimama (wataalamu vuteni ule uzi). Aidha alisisitiza kuwa remote ya moyo wa JPM iko nje wakibonyeza tuu ameondoka.

Queen Esther
Yeriko alimwaga mboga baada nyie na midogo yenu michafu kumwaga ugali,mmtupe mawe halafu siye tukae kimya
 
hv kwa maneno aliyokuwa akiongea mtikila huwezi amini kama ni mchungaji anayesoma maandiko matakatifu kila wakati.Yatupasa sote kuishi vema na kuchunga vinywa vyetu na tuache ulevi wa kimamlaka na viburi vilivyokithiri na tusijione tuko juu ya mamlaka ya MUNGU Tujue daima MUNGU ndiye mwenye kutoa afya njema,magonjwa,njaa,kiu,furaha kwa MUNGU yote ni sawa liwe baya liwe zuri,Tumwombe atukinge na majigambo.
 
Jamani R I P mtikila
Ila iwe gundisho kuna watu ni wagonjwa tena wapo kitandani for 10 years, kuna watu wana cancer, kuna watu ni mavictim HIV but wanaishi ila wewe ujionae uko healthy unakufa wao wapo. Tujifunze kila mtu ni marehemu mtarajiwa no matter how healthily you ar

Mimi nadhani hofu ya mtikila si kuwa lowasa atakufa ndani ya muda mfupi ujao, alikuwa anasema kuwa lowasa ni mgonjwa na ugonjwa wake unaathiri ubongo hivyo hafai kupewa dhamana ya kuongoza nchi,
 
Kama kuna uwezekano ili jutu ni la kupiga risasi,mchana kweupe,pepo jinamizi shetani linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,mungu uko wapi?

Unauhakika!? Mi naona na wewe na jazba zako unaweza ukanitangulia, eti shetani!
MUNGU yupo tena yupo upande wa Edward Lowassa kwa taarifa yako! Unafikiri mamilioni wenye haki waliojitolea kumuombea afya njema kwa MUNGU, MUNGU hajawasikia!?
 
Back
Top Bottom