Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa
Yaani wewe ni kiazi kweli mbona tangu alipoacha uwari mkuu hamjamshitaki kama alikuwa na hatia. Naona mmekuwa mazuzu kwa kumwaza lowasa am sure mungu atamlinda mja wake siku zoote.
Ni nani aliyewaambia kuwa nyie ndo hati miliki ya ikulu? enyi wezi wa rasilimali zetu ni nani aliyewaroga?
 
Star tv ilishakufa kibudu siku nyingi kwa kuendekeza sihasa na siyo siasa bali ni sihasa za ccm fusiem.R.I.P REV. MTIKILA
 
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,

freemason unaijua ww.... hizo nguvu unazosema zipi??? alaf nyie magamba endeleen kudhihaki maana Mungu huwa anajibu kwa wakat... yetu macho na masikio
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Star tv hawana maana hata kidogo, wamejishushia heshima kupita kawaida! sina sababu ya kuitizama hata kama nikiwa nimelewa-HAWAFAI
 
mod matusi mengi du your work

Mimi nasema mmiliki wa jf ni wakati sasa akatafuta moderators wengine wenye kujua na kujali muda wa watu wengine kama wasomaji. Moderator mzuri hawezi kuruhusu jukwaa kama hili la great thinkers kuingiliwa na watu kama kina Kanone na wa aina yake ambao michango yao haina tija zaidi ya matusi na uandishi usioeleweka. Michango ya kimipasho isiyo na maadili na isiyojali haki na sheria za mitandao. Kwa ujumla jf ina majukwaa mengi hivyo wangekuwa wanaelekezwa majukwaa wanakostahili kupeleka michango yao. Vinginevyo mods wa jf mtasababisha mmiliki kufungiwa au kupigwa faini kubwa au vyote kwa pamoja kwa kuruhusu kuendelea kwa haya. Nimeonya mara nyingi na watu wanawakimbia kwa michango dhaifu kama hii.
 
Ni kweli kazi hiyo mnaiweza maana mkitila amekuwa mpinzani miaka mungu sana na tena bigwa wa kusema machafu ya serikali na kutoka kuwapeleka mahakama ni,lakini amegusa shetani lenu tayari mumemtoa roho,na nyie mtakufa tu,
Mlipompa sumu mwakyembe mungu akawapa kiarusi adi sasa mnaangaika nacho sasa UA wote na nyie mtakufa tu,
naona unakuja na hearsay kutoka radio Mbao ikitangaza kutoka Lumumba badala ya kutanguliza facts.. ....vipi kuhusu marehem amran kombe, kolimba, dittopile, Balali, mwangosi, ? vipi kuhusu mwanaharakati ulimboka, vipi kuhusu mgodi wa bulyankulu?nani kaigusa afya ya agustin mrema mpaka leo?

dadaadeki
 
naona unakuja na hearsay kutoka radio Mbao ikitangaza kutoka Lumumba badala ya kutanguliza facts.. ....vipi kuhusu marehem amran kombe, kolimba, dittopile, Balali, mwangosi, ? vipi kuhusu mwanaharakati ulimboka, vipi kuhusu mgodi wa bulyankulu?nani kaigusa afya ya agustin mrema mpaka leo?

dadaadeki

Noma sana hii ndo Tanzania
 
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,
Kwa hiyo imani sijua hata kamakazini unaweza kwenda
 
Pale imebaki BBC saa tatu alafu tunarudi zetu ITV
 
mimi nilisha-delete haka ka star tv kwenye king'amuzi changu. ni marufuku hata familia yangu kuangali tv za kilofa kama star tv, tbc na claouds.
 
Ukimdhihaki mtu anayemtegemea Mungu utavunjika shingo ghafla.
 
Anthony Diallo anatumia nguvu kubwa sana kutetea chama chake, hadi vyombo vyake vya habari vinakuwa kama vituo vya propaganda za siasa.

Star TV na radio free Afrika nilishazipuuza kitambo, siwezi kupoteza muda wangu kusikiliza wala kuangalia.
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

Naikumbuka startv kila siku isipokuwa weekend arond 21;00-21:30 basi. zaidi ya hapo labda michezo na burudani. halafu king'amuzi cha startimes kinawafanyia mbaya maana kila saa inakata kata
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Acha kutumika vibaya na ushinde hisia za Shetani.
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

Ni ukweli usiyopingika kwamba Star TV imekosa kabisa mvuto. Kile tunachokipata siku hizi kutoka STV ni tofauti na matarajio yetu. Itabidi wajipange sawa sawa kerejesha watazamaji wao waliowatoroka.
 
Back
Top Bottom