Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

ninahamu sana na hili zimwi nalisubili lifike huku Ndio nitatoa ushahidi stayed stunned atoke zenji aje kwetu hilo zezeta limaloumwa kideli

LIMALO? Mushuti wewe
 
watz tunashindwa kuelewa jambo moja. Kama mhe lowasa asingekuwa mgombea wa nafasi nyeti ya urais nani angeshughulika naye. Kwa nafasi hiyo anayowania taka usitake atasemwa tu, kwa uzuri au kwa ubaya ni lazima atasakamwa. Vinginevyo ajiengue kwenye safari yake ya matumaini. Kwani ni yeye nani asijadiliwe, ni mtume? Ni mungu mtu? Kwani mhe. Magufuli hasemwi? Hatukanwi? Kwani anna mghwira hatukanwi? Kwani wagombea ubunge hawatukanwi? Kama rais jk kila siku anatunwa mitandaoni bila woga kwa kiongozi mkuu ya nchi sembuse mtu anaiota ikulu siku 20 bado mbali. Mti wa matunda hutupiwa mawe kuona yameiva.

anatunwa?
 
Ni kweli kazi hiyo mnaiweza maana mkitila amekuwa mpinzani miaka mungu sana na tena bigwa wa kusema machafu ya serikali na kutoka kuwapeleka mahakama ni,lakini amegusa shetani lenu tayari mumemtoa roho,na nyie mtakufa tu,
Mlipompa sumu mwakyembe mungu akawapa kiarusi adi sasa mnaangaika nacho sasa UA wote na nyie mtakufa tu,

Pole sana Shemeji, ulimpenda mzee akini Mungu amempenda zaidi
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Unachelewa mkuu.jilipue sasa ivi hasira zitapungua.jilipue muache mkeo tumfaidi
 
Shetani linataka kwenda ikulu kwa juwamaliza wapinzani wake,kisa ikulu el ikulu kuna mikataba gani na maagent wako unataka kuipeleka,

watch your language ,control your fingers before you type.
unawaita wenzako shetani,wewe ni malaika!!?.
je wewe ni mkamilifu? wazazi wako na jamaa zako wa karibu not wakamilifu as per say!!!?
 
Wewe ndio utapata pigo kubwa zaidi kabla umfanyie ...mhe. Lowassa...!!!!!!!!!..........tena utubu kwa ajili ya kauli yako kabla mungu hajaanza kukushughulikia mapema sana....!!!!!!!........anayepigana na lowassa anapigana na mungu.....!!!!!!!!!.....tubu mapema na uache fikra zako chafu...!!!!!!
 
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake yawe hasi au chanya siasa ndo ilivyo R.I.P MPINZANI WA KWELI MTIKILA UMEONDOKA UKIWA MWANASIASA AISYE TETEREKA NA ULIKUA UNA NDOTO YA KUTUTUMIKIA WATANZANIA UTAKUMBUKWA KWA MCHANGO WAKO
unadhan kama kila mtu atatukana hii nchi itakuwa ni danguro sasa.tushindane kwa hoja sio matusi na kashfa
 
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,

Duh mshamtoa kwny uluther mmempeleka kwenye ufreemason!aisee nyie ni wapuuz sana na propaganda za kipuuz
 
unadhan kama kila mtu atatukana hii nchi itakuwa ni danguro sasa.tushindane kwa hoja sio matusi na kashfa

Hakuna popote mtikila alishawahi kutukana na mara ya mwisho walimtuhumu kwa hilo ilikua kipind alipo sema mwalimu alikufa kwa upungufu wa kinga mwilini na alishinda mahakamani iyo kesi kwaiyo mwacheni mpinzni wa kweli alale kwa amani
 
Yaani star niliwapenda sana hasa yule jamaa wa jmosi asbh uchambuzi wa magazeti. Walikuwa neutral, sasa wanaboa. Kusema kweli itv wako fair sana, wanaripoti pande zote sawasawa bila upendeleo wala kuonea. Nafikiri ndio maana wanaitwa superbrands.
 
"Binadamu wote ni sawa na Africa/Tanzania ni moja" - Statement muhimu wakati wa Mwalimu.
Wahalifu wote wako jela na mtu yeyote aliyepitishwa na Tume ya Uchaguzi kugombea nafasi yoyote mahali popote tayari anawafaa watanzania.
Leo hii ukimuona mtu kama Humphrey Polepole na media kama hizi zinavyomchukia EL unajiuliza kweli tutaweza kujitoa katika utumwa!??
Chuki ni chuki tu hata Mhaya akimchukia Muha, Mzungu kumchukia mchina, mkiristo kumchukia mbudha nk nk.
Mungu yupo macho na uenda asisubiri vizazi vya hawa wenye chuki ili kuwafunza bali akawaonyesha hapa hapa katika maisha haya!
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

mbona ya kwako ITV hujaisema unataka kutuambia wewe mtikila kafa kwa ajil ya lowasa
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

Wakumbuke usajir wao wamesajiriwa kama media huru isiyoegemea upande wowote. So propaganda hiz zingefanya na Uhuru FM sio wao. TCRA angalien hil gan
 
Back
Top Bottom