Dada una hasira na matusi kama kawaida ya ccm. Mnadhani mnahati miliki ya hii nchi ndo mana mna viburi vya
1. Kutaburia watu vifo
2. Kudhalilisha watu
3. Kutukana watu- malofa, wapumbavu kama ulivyofanya wewe
Lakini bado huwa tunawambia haya yana mwisho mnajidai vichwa ngumu hamuelewi. Ila mtaelewa tu.
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,