Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Unauhakika!? Mi naona na wewe na jazba zako unaweza ukanitangulia, eti shetani!
MUNGU yupo tena yupo upande wa Edward Lowassa kwa taarifa yako! Unafikiri mamilioni wenye haki waliojitolea kumuombea afya njema kwa MUNGU, MUNGU hajawasikia!?

Mwambie .....!
 
Star TV wanajiua kwa ujinga wa Chuki za kikanda.sasa wsnaowavhukia ndio wanasitaji hadi nyama ni kwao. Mungu huwaluza mwenye haki
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.
Mkuu acha hyo mtangazaji alie tu,wakina mtikila si walikuwa mitaji ya maficcm
 
Kiukweli huu mwaka Star TV wamejishushia sana heshima binafsi sitaki hata kuangalia vipindi vyao siku hizi naangalia BBC Swahili pekee then nahamisha stesheni
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Sijui km unawasikiliza viongozi wa ccm na kauli zao juu lowasa!! Lowasa kajibu lipi??? Je?? Na ccm wameua wangapi tusio wajua??? Tusishabikie siasa za kuchafuana
 
Kwanini kifo cha Mtikila ccm wameumia sana wakati alikuwa sio mwanachama wao?wakati anadai Tanganyika na serikali 3,alikuwa adui! Alipoanza kumtukana Lowasa,akawa kipenzi chenu,acheni unafiki!
 
Kabla ujaangalia kibanzi kwenye hicho LA mwenzio agalia kwenye hicho lako,hapa vipi?
1,lowasa. Masai,
2,sumaye, mbulu
3,mbowe. Mchaga
4,mbatia, mchaga
5,mnyika, mpale
6,mdee, _mpale

Hapo ukanda vipi,

Huu ni mtazamo na propaganda!!!!
 
Kwanini kifo cha Mtikila ccm wameumia sana wakati alikuwa sio mwanachama wao?wakati anadai Tanganyika na serikali 3,alikuwa adui! Alipoanza kumtukana Lowasa,akawa kipenzi chenu,acheni unafiki!

Nahisi umeconclude mjadala mkuu, straight to the point
 
Startv imekuwa kama tv ya kijani sasa propaganda kibao
 
Star TV imekuwa kichaka cha propaganda.. Nilikuwa naangalia BBC tu lakini nayo sasa bora hata Azam na ITV
 
OKW BOBAN SUNZU
angalia ulivyomalizia sentensi hii."Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia
kwa siasa safi.



Naomba nikutuhumu kwamba unafahamu mambo mengi nyuma ya hiki kifo cha MTI.killer.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom