Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Muda wote, weka akiba ya maneno usiongee kama wewe ndio mtakatifu, utakuja kujuta.
 
Shetani wewe unayeshsbikia shetani linalotaka kwenda ikulu kwa kumaliza wapinzani wake,mungu atalisaidia taifa lake,

mbona unalia kwa kurusharusha miguu kwani rev.mtikilah alikuwa mjomba ako au ccm ndiyo mama yako au dk.POMBE ni jirani yako
 
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,

Mwaka huu Lowasa atawatagisha Mayai GAMBAZ manake mmevurugwa sikidogo....Kwahiyo mlitegemea kutawala milele hii Nchi jinga kabisa
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Unao ushahidi mkuu? Peleka mahakamani
 
kwa sasa mtikila ana wasaha mzuri wa kumtukana lowasa, maana anajua siku zake.
 
Wewe ni mpumbaavu. Kwani lowasa tangu lini msafi? Mbona huyo anatakiwa auawe kwa kuchomwa moto! Ni mwizi na fisadi asubiri tu kufungwa Dr Magufuli akichukua nchi. Na kwa taarifa yako hata mbwa wangu hataki kusikia lowasa.

jaribu kuweka kipimo cha maneno sio uungwana kumtukana mwenzako kwa vile ametoa maoni yake.
sura yako inavutia jaribu kutoa maneno matamu ya kuvutia.
 
Jamani R I P mtikila
Ila iwe gundisho kuna watu ni wagonjwa tena wapo kitandani for 10 years, kuna watu wana cancer, kuna watu ni mavictim HIV but wanaishi ila wewe ujionae uko healthy unakufa wao wapo. Tujifunze kila mtu ni marehemu mtarajiwa no matter how healthily you ar

Kazi ya shetani linalotaka kwenda ikulu,lakini mungu yupo ukweli utabski kuwa ukweli,na hakuna atakaye ishi milele,
 
Wewe ni mpumbaavu. Kwani lowasa tangu lini msafi? Mbona huyo anatakiwa auawe kwa kuchomwa moto! Ni mwizi na fisadi asubiri tu kufungwa Dr Magufuli akichukua nchi. Na kwa taarifa yako hata mbwa wangu hataki kusikia lowasa.

Mwz ni mm yako aliyekuzaa nje ya ando ya baba yako matko wewe.
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.
Sijawai kuona mtu lofa kama wewe.
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Mbona hii ya Kolimba umeisahau kuifafanua?
 
kwa sasa mtikila ana wasaha mzuri wa kumtukana lowasa, maana anajua siku zake.

Nae atakuwa hata akuwamaliza wapinzani wake wote,aliwapa sumu wapinzani wake wa kisiasa,akina mwakyembe mungu akampa kiarusi adi sasa anaangaika nacho,haujui hayo nae siku yake itafika,
 
Hii Star Tv wewe bado unaendelea kuangalia tuu.Mbona nayo ilishafutika siku nyingi Machoni mwa Watanzania wapenda haki.Mimi binafsi nilishaisahau kitambo sana kaka.Achana nao.Nadhani unafahamu Tv ipi nzuri kwa Taarifa ya habari na habari zingine Motomot😵ndoka huko.
 
Mbona hii ya Kolimba umeisahau kuifafanua?

Kama kuna uwezekano ili jutu ni la kupiga risasi,mchana kweupe,pepo jinamizi shetani linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,mungu uko wapi?
 
Hivi mungu wa Tanzania uko wapi,jitu linamaliza wapinzani wake wa kisiasa kiss ikulu? Ikulu kuna nini ?unamikataba gani ikulu?
 
Mkimfunga EL, mnaifunga CCM na kuifunga CCM ni kuwafunga viongozi wote wa CCM kuanzia baba Riz1 hadi balozi wa nyumba 10. Hakuna atakae thubutu ndo maana hadi leo kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
EL hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hatuna hakika Magufuli ataanza na nani baada ya kuchaguliwa, Mahakama ya Mafisadi itakumba wengi ikiwa ni pamoja na hao wanaomnadi na kumshabikia sana hivi sasa... watch out
 
Back
Top Bottom