Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Chadema ni chama cha maharamia. Angalia ile maiti haina hata mchubuko. Mtoa mada ni mnafiki sana. Je aliyokuwa akiyasema Mtokila yalikuwa ya uongo? Sasa mmemuua ili kumziba mdomo. Wananchi fungukeni hawa watu ni hatari sana.
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Mtikila alikuwa akitumiwa na CCM kuisakama CDM yangu 2005.
Wasaka tonge bado wapo wengi tu, mtapata wengine
 
Shetani linataka kwenda ikulu kwa juwamaliza wapinzani wake,kisa ikulu el ikulu kuna mikataba gani na maagent wako unataka kuipeleka,

Acha kuweweseka, Mungu hadhihakiwi.
 
Chadema ni chama cha maharamia. Angalia ile maiti haina hata mchubuko. Mtoa mada ni mnafiki sana. Je aliyokuwa akiyasema Mtokila yalikuwa ya uongo? Sasa mmemuua ili kumziba mdomo. Wananchi fungukeni hawa watu ni hatari sana.

Huwezi jua kuna pressure, kuna heart attack hujuhi lipi lilimkuta husihukumu.
 
Chadema ni chama cha maharamia. Angalia ile maiti haina hata mchubuko. Mtoa mada ni mnafiki sana. Je aliyokuwa akiyasema Mtokila yalikuwa ya uongo? Sasa mmemuua ili kumziba mdomo. Wananchi fungukeni hawa watu ni hatari sana.

Mabadiliko wayatakayo watz hayawezi kuzuiwa na wapuuzi wenye hitilafu kichwani kama wewe
 
WaTz tunashindwa kuelewa jambo moja. kama mhe lowasa asingekuwa mgombea wa nafasi nyeti ya urais nani angeshughulika naye. kwa nafasi hiyo anayowania taka usitake atasemwa tu, kwa uzuri au kwa ubaya ni lazima atasakamwa. vinginevyo ajiengue kwenye safari yake ya matumaini. kwani ni yeye nani asijadiliwe, ni mtume? ni mungu mtu? kwani mhe. magufuli hasemwi? hatukanwi? kwani anna mghwira hatukanwi? kwani wagombea ubunge hawatukanwi? kama rais jk kila siku anatunwa mitandaoni bila woga kwa kiongozi mkuu ya nchi sembuse mtu anaiota ikulu siku 20 bado mbali. mti wa matunda hutupiwa mawe kuona yameiva.

Mzalendojr nadhani unaandika vitu usivyovijua kabisa, hoja hapa ni
1/Sio sahihi kabisa kwa viongozi waandamizi wa CCM kusimama mstari wa mbele kufanya siasa chafu.

2/Ni uwendawazimu kwa CCM kutumia Afya ya Lowassa kama ndio agenda ya kuombea kura tena wakimdhihaki majukwaani. Huo sio utu wala uungwana.

3/Watanzania wanataka kuona siasa za hoja na sio matusi ya nguoni.
 
Last edited by a moderator:
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

wewe nimejarbu kuwazia uelewa wako najikuta naonahata darasa la 7 hukufika!! jf imejaa mambulula wa kutosha had wehu kama ww!!
 
ninahamu sana na hili zimwi nalisubili lifike huku Ndio nitatoa ushahidi stayed stunned atoke zenji aje kwetu hilo zezeta limaloumwa kideli

Kila mtu nchi anasema ana ushahidi haijawahi hata mmoja aliyepeleka mahakamani
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.


Purely ushabiki huu kunya anye kuku akinya bata, kaharisha
 
Chadema ni chama cha maharamia. Angalia ile maiti haina hata mchubuko. Mtoa mada ni mnafiki sana. Je aliyokuwa akiyasema Mtokila yalikuwa ya uongo? Sasa mmemuua ili kumziba mdomo. Wananchi fungukeni hawa watu ni hatari sana.

hivi umesoma ulichoandika?? humu jf kwann wasisajili watu kwa kuzngatia taaluma zao? hawa walemavu wa akil na majinga yasowaza vema sijui yafanya nn huku..cdm ndo dereva wa mtikila? Half huyo mtikila wenu nae ni mgombea wa aina gan anaefanya kampen za uraisi kwa kutumia kigari aina ya cresta??? shame to both of u
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Itakuwa alilia kwa kuwa wa kumualika kumtukana Lowaasa katangulia mbele za haki.Inabidi vipindi vyake vichukuliwe na Mkinga au wakamuazime polepole kuze chanel ten
 
Ni kweli kazi hiyo mnaiweza maana mkitila amekuwa mpinzani miaka mungu sana na tena bigwa wa kusema machafu ya serikali na kutoka kuwapeleka mahakama ni,lakini amegusa shetani lenu tayari mumemtoa roho,na nyie mtakufa tu,
Mlipompa sumu mwakyembe mungu akawapa kiarusi adi sasa mnaangaika nacho sasa UA wote na nyie mtakufa tu,

Chungeni Midomo Yenu Ninyi Watu Wa Ccm? UHURU wa Habari Basi Uwe na Mipaka Msifilisiki Kichwani Kiasi Cha Kuleta Propaganda Kwenye Misiba Ya Watu.

Sote Tunaamini Tutakufa Lakini Kila Mmoja Atakwenda Kwa Njia Anazojua Mungu Mwumbaji.

Lowassa Aliwakosea Nini? Mmemtukana Vyakutosha Kila Aina Ya Matusi Mitandaoni Na Majukwaani Mmemtukana.

Maskini Ya Mungu Mzee wa Watu Hata Siku Moja Hajafungua Kinywa Chake Kumtukana Mtu. Au Kumrudishia Mtu Neno!

Ndiyo Mjue Kwamba Mungu Ukinyamaza Kimya Yeye Atalipa Kisasi Juu ya Watesi Wako, Tufanye Siasa Za Kuheshimiana Tuchunge Midomo Yetu Tusitafute Madaraka Kwa Kuwatukana Na kuwaonea Wengine Tanzania ni Nchi Yetu Sote. Ccm Haina Hatimiliki ya Kutawala Nchi Hii, Kila Mtu Ana Haki Ya Kuongoza Taifa Hili. Zaidi Sana Upendo Wa Ndugu Udumu, Mungu Ibariki Tanzania.
 
Station yao niko tu jilan nao, staki kuiona hata kwenye king'amuzi

mjinga kama si mpu...mba...v. mnataka kila kituo kiwe kama mshenga. ukweli unauma, mkiambiwa mnapagawa. ulitaka star tv iegemee upande gani. hiki ni kituo huru cha biashara. mweye nguvu ya pesa akodi afanyiwe kazi 24h. au aanzishe tv yake ili awaridhishe awatakao. tuwe na akiba ya maneno
 
Mungu Ndiye Anayejua SALIO La Uhai Wa Kila Binadamu!! KUMSEMA Binadamu MWENZIO Vibaya, KISA Ni Utofauti Wenu Kisiasa, Au Umepewa Kitu Fulani Toka Upande MWINGINE!!! Sio SAHIHI Hata Kidogo!!
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Mkuu mwaka watu wa opposition ndio wamekuwa wavumilivu wakati chama tawala wanaongoza kwa kuvunjiana heshima
 
Unao ushahidi mkuu? Peleka mahakamani

Mkuu kwetu wanasheria cha muhimu ni kuhifadhi maneno yoote yanayo andikwa hapa jukwaani ili baadae tuyatumie kama ushahidi wa uchochezi wa uvunjifu wa amani
 
Acha Kutusi Watu! Hivi Ni Nani Ambaye Hajui Mmiliki Wa STARTVCCM Ni Kada Na M/ Kiti Wa CCM Mkoa Wa Mwanza!!?? ALAFU Eti Kituo Huru!! Labda Mgeni Ktk Uga Wa Siasa!!
 
Back
Top Bottom