Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,

Huu sijui ni utoto,umbumbumbu au ujinga? kanone hebu tusaidie, wewe uko kwenye kundi gani hapo?
Au umeamka nazo?
 
Last edited by a moderator:
Bosi wao aliwahi kuwa waziri wa maliasili na utalii; labda safari hii kaahidiwa wizara ya nishati aongeze kituo kingine cha tv. Pia suala la ukanda na ukabila hapo haliepukiki
Umenifundisha kitu mkuu...kuna ukanda hapo bila swali...
 
Hatuna hakika Magufuli ataanza na nani baada ya kuchaguliwa, Mahakama ya Mafisadi itakumba wengi ikiwa ni pamoja na hao wanaomnadi na kumshabikia sana hivi sasa... watch out

Magufuli anakazi kubwa mafisadi na haya yanayoua wapinzani wake kwa nguvu za Giza,
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Duuhh, nyuma ya keyword kunatufanya tujisahau,!!
Hv unaweza ukathibitisha hili?
 
Umenifundisha kitu mkuu...kuna ukanda hapo bila swali...

Kabla ujaangalia kibanzi kwenye hicho LA mwenzio agalia kwenye hicho lako,hapa vipi?
1,lowasa. Masai,
2,sumaye, mbulu
3,mbowe. Mchaga
4,mbatia, mchaga
5,mnyika, mpale
6,mdee, _mpale

Hapo ukanda vipi,
 
Kwa nguvu za freemason,anazotumia,chini ya misukule ya gwajima na kingunge,Hazitasaidia mungu wa taifa hili hatasimama tu mbele ya haki,

Misukule ikoje mkuu au ndo umekalilishwa kila baya likitokea ni freemason
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

Nowdays Star Tv nairuka kama navyoifanya tbc.
 
WaTz tunashindwa kuelewa jambo moja. kama mhe lowasa asingekuwa mgombea wa nafasi nyeti ya urais nani angeshughulika naye. kwa nafasi hiyo anayowania taka usitake atasemwa tu, kwa uzuri au kwa ubaya ni lazima atasakamwa. vinginevyo ajiengue kwenye safari yake ya matumaini. kwani ni yeye nani asijadiliwe, ni mtume? ni mungu mtu? kwani mhe. magufuli hasemwi? hatukanwi? kwani anna mghwira hatukanwi? kwani wagombea ubunge hawatukanwi? kama rais jk kila siku anatunwa mitandaoni bila woga kwa kiongozi mkuu ya nchi sembuse mtu anaiota ikulu siku 20 bado mbali. mti wa matunda hutupiwa mawe kuona yameiva.
 
Nimemshuhudia mtangazaji wa Star TV akibubujikwa na huzuni wakati anadokeza kuhusu msiba wa Mtikila.Wakati namuonea huruma nikakumbuka jambo moja kwamba katika media iliyoruhusu propaganda chafu dhidi ya Lowasa ni Star TV.

Sitaki kuamini kama Star Tv walikuwa wanamwalika mgeni Mtikila na Mkinga kumtukana Lowasa,lakini kwa nini hawakukemea wala kutokumualika kabisa Star TV yapasa mjutie haya maswala na iwe mwisho.

Kwa imani yangu naamini kifo cha Mtikila hakina mahusiano na dhihaka zake kwa Lowasa.Nachoamini ni Double Coincidence tu,wakati marehemu anatukana wenzie tayari tarehe zilishafika.

Lakini tunapata funzo kuwa usitukane mamba kabla ya kuvuka mto na hakuna ajuaye kesho,tupendane na tuishi kwa raha.Hongera Lowassa,Mbowe na Mbatia kwa siasa safi.

Hivi Leo hakuwa anangojewa kwa mwendelezo?
 
Duuhh, nyuma ya keyword kunatufanya tujisahau,!!
Hv unaweza ukathibitisha hili?

Unamtisha nani ,mfanye ushetani eti tusiseme ukweli? Njoo mtuue na sisi si anataka kwenda ikulu?
 
Kama kuna uwezekano ili jutu ni la kupiga risasi,mchana kweupe,pepo jinamizi shetani linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,mungu uko wapi?

Kwa hizi stress zako utakufa mwaka huu! Mshirikina mkubwa Wewe, unalalamikia ufisadi ni ufiadi Upi? Richmond mhusika anajulikana wewe unatuletea upimbi wako hapa! Kanywe sumu ufe mwenyewe, LOWASSA yuko safi na Ikulu tunamleleke sisi wenye uchungu na nchi hii.
 
walianza TBC kwa propaganda za kuingiliwa kisiasa na chama fulani leo hii statistic zinaonyesha idadi ya watazamaji wa hiyo Tv imeshuka sana mpaka kufikia 32.7% toka 64.9% huku ITV ikiongoza kwa % nyingi tu..sasa star tv wasipoangalia watawafuata TBC na watu watawakimbia....

Sisi wataalam wa marketing tunaangalia vitu vingi sana kushuka kwa idadi ya watu wanaotazama star tv kutasababisha madhara mengi kwa product za startv..na sijui hata visimbuzi vyenu vitauzika katika ile target mliyoiweka so muwe makini na hili...ni ushauri wa bure toka kwa washabiki wenu...
 
ninahamu sana na hili zimwi nalisubili lifike huku Ndio nitatoa ushahidi stayed stunned atoke zenji aje kwetu hilo zezeta limaloumwa kideli

Mkuu kama kuna mchango weka no yako tukuchangie ili kufanikisha,ili shetani tumechoka kumuona maana anachowafanyia wapinzani tangu kwa mwakyembe kumpa sumu,mungu akalipa kiarusi hali kusikia sasa linataka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani,
 
walianza TBC kwa propaganda za kuingiliwa kisiasa na chama fulani leo hii statistic zinaonyesha idadi ya watazamaji wa hiyo Tv imeshuka sana mpaka kufikia 32.7% toka 64.9% huku ITV ikiongoza kwa % nyingi tu..sasa star tv wasipoangalia watawafuata TBC na watu watawakimbia....

Sisi wataalam wa marketing tunaangalia vitu vingi sana kushuka kwa idadi ya watu wanaotazama star tv kutasababisha madhara mengi kwa product za startv..na sijui hata visimbuzi vyenu vitauzika katika ile target mliyoiweka so muwe makini na hili...ni ushauri wa bure toka kwa washabiki wenu...

ITV na kasikazin
 
Kabla ujaangalia kibanzi kwenye hicho LA mwenzio agalia kwenye hicho lako,hapa vipi?
1,lowasa. Masai,
2,sumaye, mbulu
3,mbowe. Mchaga
4,mbatia, mchaga
5,mnyika, mpale
6,mdee, _mpale

Hapo ukanda vipi,

kanone; UNAHUBIRI UDINI, UNATHUBUTU KUPANDIKIZA uDINI HUMU, NINGEKUWA MODERATOR NISINGEKUVUMILIA ENZI HIZO TUKIKUWA TUKIZUNGUMZIA UDINI TUNAOATA BAN YA MIEZI MITATU TU LAKINI WEWE UNAPETA TU...
 
Last edited by a moderator:
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Ndg yangu chunga sana kinywa chako kuna maisha baada ya uchaguzi huyo usiyempenda anaweza kuwa kiongozi wa nchi na ukakosa pa kuficha ai
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Chunga kauli zako,
 
Back
Top Bottom