Star TV mjutie na mjifunze

Star TV mjutie na mjifunze

Mwaka huu Lowasa atawatagisha Mayai GAMBAZ manake mmevurugwa sikidogo....Kwahiyo mlitegemea kutawala milele hii Nchi jinga kabisa

Mwaka huu ndio mwisho wao na wanahaha kama simba mzee
 
Chadema ni chama cha maharamia. Angalia ile maiti haina hata mchubuko. Mtoa mada ni mnafiki sana. Je aliyokuwa akiyasema Mtokila yalikuwa ya uongo? Sasa mmemuua ili kumziba mdomo. Wananchi fungukeni hawa watu ni hatari sana.
unaweza eleza kidogo jinsi Chadema walivyomuua?
 
Shetani kuingia ikulu ni ndoto tutalizuia hata kwa makombora labda ayafanyie nguvu za Giza yasifanye kazi,

Wewe mrundi hiyo habari ya makombora kayasemee kwenu buyenzi mlikozoea kupigana makombora
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!

Mkuu hiyo star na tbc wamuulize Arap san'g kule kenya hadi leo anasaga rumba the hague
 
na inasemekana hiii ni njama ya lowasa ili asishitakiwe!!!! ila cdm ni hatari walimuua chachawangwe na huyu mtikila mmemkolimba

hivi hiii ikulu kuna nini?????????? lowasa ukija kwetu huku nitajitoa mhanga tuone hio jeuri unaitoa wapi pumbavu lowasa

Kweki wewe ni nkobe tena yule mdogo
 
a)mtikira+kombani+mkangara=(tayari)
a)nape+mwigulu+makamba+makongoro+msukuma+bulembo=(bado)

ahahaha,
chunga kauri zako
Umemsahau magufuli+Lusinde. Nao wanamdhihaki lowasa kwa kufikiri kupiga pushups ndiyo afya/uzima.
 
ni kweli kazi hiyo mnaiweza maana mkitila amekuwa mpinzani miaka mungu sana na tena bigwa wa kusema machafu ya serikali na kutoka kuwapeleka mahakama ni,lakini amegusa shetani lenu tayari mumemtoa roho,na nyie mtakufa tu,
mlipompa sumu mwakyembe mungu akawapa kiarusi adi sasa mnaangaika nacho sasa ua wote na nyie mtakufa tu,

dhihaka za kuita watu shetani usishangae ukageuka mganga. Mungu hadhihakiwi
 
Mkuu kama kuna mchango weka no yako tukuchangie ili kufanikisha,ili shetani tumechoka kumuona maana anachowafanyia wapinzani tangu kwa mwakyembe kumpa sumu,mungu akalipa kiarusi hali kusikia sasa linataka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani,

Mwaka huu azima urudi kwenu burundi ngiri mkubwa
 
Mkuu kama kuna mchango weka no yako tukuchangie ili kufanikisha,ili shetani tumechoka kumuona maana anachowafanyia wapinzani tangu kwa mwakyembe kumpa sumu,mungu akalipa kiarusi hali kusikia sasa linataka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani,

Ngiri mkubwa wewe
 
Star TV inatakiwa ijue kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi.As for me,naona ratings za Star TV zimeshuka na zitashuka kuliko hata za TBC...ni hatari kwa media kama Star TV kutumika hivyo kisiasa bila kuzingatia weledi wa utoaji habari..Waangalie Azam TV wanafanyaje kazi!



Mi mwenyewe nilikuwa naipenda sana star tv but walivyoanza ujinga ujinga sina muda nao tena.
 
Wewe ndio utapata pigo kubwa zaidi kabla umfanyie ...mhe. Lowassa...!!!!!!!!!..........tena utubu kwa ajili ya kauli yako kabla mungu hajaanza kukushughulikia mapema sana....!!!!!!!........anayepigana na lowassa anapigana na mungu.....!!!!!!!!!.....tubu mapema na uache fikra zako chafu...!!!!!!
 
Kwa hizi stress zako utakufa mwaka huu! Mshirikina mkubwa Wewe, unalalamikia ufisadi ni ufiadi Upi? Richmond mhusika anajulikana wewe unatuletea upimbi wako hapa! Kanywe sumu ufe mwenyewe, LOWASSA yuko safi na Ikulu tunamleleke sisi wenye uchungu na nchi hii.

Umeona eeeh?
 
Kwa hizi stress zako utakufa mwaka huu! Mshirikina mkubwa Wewe, unalalamikia ufisadi ni ufiadi Upi? Richmond mhusika anajulikana wewe unatuletea upimbi wako hapa! Kanywe sumu ufe mwenyewe, LOWASSA yuko safi na Ikulu tunamleleke sisi wenye uchungu na nchi hii.

Tupo pamoja mkuu
 
Unamtisha nani ,mfanye ushetani eti tusiseme ukweli? Njoo mtuue na sisi si anataka kwenda ikulu?

Itabidi utueleze nani anawavamia waendesha pikipiki na magari msitu wa biharamulo
 
MUNGU wewe unayejua sirini utuokoe sisi tunaojudge kwa jinsi ya mwili na kuangalia sheria ya mwanadamu. Nakupenda sana MUNGU WA IBRAHIM, MUNGU WA YAKOBO NA MUNGU WA ELIA. Hukosea tena unatenda wakati ukifika. Mrehemu Mtikila na sisi uturehemu pia
 
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake yawe hasi au chanya siasa ndo ilivyo R.I.P MPINZANI WA KWELI MTIKILA UMEONDOKA UKIWA MWANASIASA AISYE TETEREKA NA ULIKUA UNA NDOTO YA KUTUTUMIKIA WATANZANIA UTAKUMBUKWA KWA MCHANGO WAKO
 
Back
Top Bottom