Stanbic bank: Mkopo bila dhamana yoyote

Stanbic bank: Mkopo bila dhamana yoyote

bro alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
1,898
Reaction score
2,256
WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.



Kwishaaaaa
 
WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.



Kwishaaaaa
Mkuu heshima!Nina wasiwasi kidogo hakuna fedha rahisi kiasi hicho
 
WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.



Kwishaaaaa
Muone Melo kwa malipo ya Tangazo!!
 
Benki za Tanzania bila dhamana ya kuaminika hata buku jero huwezi kukopeshwa.
Labda kama na wao wamejiunga kwenye ile mikopo ya kitapeli ya mitandaoni ambayo mwisho wake ni mauti kwa mkopaji
Thamani ya kitu kisichohamishika chenye thamani isiyopungua 65% ya mkopo unaochukua elewa 65% tena hapo nimekupunguzia sana
 
We mkali inaonekana umepanic sana hii hii asubuhi umeanzisha uzi wa Chris brown kuja mkapa hujatulia unatulea uzi wa stanbic dah unatuonea.
 
WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.



Kwishaaaaa
Wewe mpaka muda huu umeishajuwa tayari umevuta?
 
Wasamehe tu bro alex on de beat
NDUGU YANGU @ MENEMENE TEKERI NA PERESI nisha wasamehe mkuu, uhuru wakuchangia wanao usema, napata mashaka nao, kama huja tukana MTU, ni JAMBO TU linalokufurahisha, MTU ANACHUKIA bila SABABU. Tunge KUWA tunaonana nazani tungepangiana HADI, kuchomekea kuvaa shati la mikono mirefu kuvaa kiatu cheusi NDO uchangie mada daah



Kwishaaaa
 
Back
Top Bottom