Toa abc ya ulichopata ili na sisi wajasiliamali tukajipeNo wamesema SIO MPAKA UENDE KWENYE tawi wacheki online TU wakupe utaratibu. Nimeona live clouds tv SI udaku
Kwishaaaa
Mkuu SI NME summarize HAPO JUU KWAMBA wacheki on line KUPEWA mkopo SI lazima UENDE KWENYE matawi ni SIMU yako tu unakamilisha KILA kitu MPAKA KUPEWA mkopo, unao FIKA HADI milioni Tano. Bodoboda. Mama lishe, wauza vigenge MPAKA wauza nyanya wanapewa ukikidhi vigezo bila dhamana yoyote.Toa abc ya ulichopata ili na sisi wajasiliamali tukajipe
Mbona NMB tunachukua mpaka milioni bila dhamana! Na riba yake ni ndogo kuliko akina Songesha, M PAWA na mgodi. Mfano mara ya mwisho nimechukua 390,000 kasoro na riba yake haikufika 40,000.Benki za Tanzania bila dhamana ya kuaminika hata buku jero huwezi kukopeshwa.
Labda kama na wao wamejiunga kwenye ile mikopo ya kitapeli ya mitandaoni ambayo mwisho wake ni mauti kwa mkopaji
Haya NDO mambo nayo yakemea, we SIKU zote UNACHUKuA mkopo WA kitonga kama huo usha wahi KUJA kutushtua? au ubinafsi TU. Mi SIKUJUA kama huwa wanatoa mkopo WA hivo na juzi TU Kuna member humu ameleta Uzi akitaka apewe msaada benki zenye riba nafuu na utaratibu MZURI WA mkopo.Mbona NMB tunachukua mpaka milioni bila dhamana! Na riba yake ni ndogo kuliko akina Songesha, M PAWA na mgodi. Mfano mara ya mwisho nimechukua 390,000 kasoro na riba yake haikufika 40,000.
Na wale hawapigi simu wala meseji za usumbufu kama wa wale wahuni wa mtandaoni. Hata ukichelewesha siku 1 hawakupigi penalti.
No Free Lunch!!!WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.
Kwishaaaaa
Upumbavu tu. Lipia tangazo kwanza.Kaka maisha yanatofautiana SIJAJUA unatukana SABABU GANI, we UNAWEZA usione umuhimu ila sisi ni poneo TENA ahueni mkuu
Kwishaaaa
hofu yangu ni riba zao nasubiri utaratibu wao ili nione kama UKO fairNo Free Lunch!!!
Hizi benki za rangi za bluu bluu--stanbic,standard chartered,barclays--utajikuta unalia mwenyewe.
Mimi yalishanikuta--siendagi kabisa kwenye hizi benki za bluu bluu.
Utakuja kuniambia.
Nilipie tangazo? naanzaje kwa MFANO? kama nani haswa? KUWA basi mkuu HIZI ni harakati zakukwamuana kiuchumi juzi hapa Kuna mtu ameomba msaada wa taasisi za mikopo haya ndo majibu we unaanza ujuaji tena. Ukishiba tambua wengine wana njaa kaka vidole havilingani we unaona cha nini sisi wengine twawaza tutakipata liniUpumbavu tu. Lipia tangazo kwanza.
Mkuu heshima!Nina wasiwasi kidogo hakuna fedha rahisi kiasi hicho
HowWamesema SIO lazima UENDE UKO wacheki TU online wanakupa utaratibu. Hofu YANGU ni riba TU HAPO ndo nina mashaka SANA
Kwishaaaaa