Stanbic bank: Mkopo bila dhamana yoyote

Stanbic bank: Mkopo bila dhamana yoyote

Mkuu wamesema SIO MPAKA UENDE KWENYE tawi lao we na simu yako tuu


Kwishaaaaa
Sidhani kama ni kweli mkuu, hakuna benki itakayorisk kiasi hicho hasa kwa watanzania tusiopenda kulipa madeni
 
Sidhani kama ni kweli mkuu, hakuna benki itakayorisk kiasi hicho hasa kwa watanzania tusiopenda kulipa madeni
No watafute uwaulize SIJUI wanatumia utaratibu UPI kuwanasa ILA WAO kupitia clouds tv NDO wamesema. Nakusisitiza KUWA walengwa ni WATU WA chini bodaboda, mama lishe nk KUPEWA HADI milioni Tano. Haina haja KWENDA huko watafute. ILA mi nashauri KWENDA tawini SI unajua wizi kibao


Kwishaaaaa
 
ILA MI NIMEPATA MASHAKA WANAPO SEMA KUTO KWENDA TAWINI MMHH USHAURI WANGU NENDA TAWINI UJIRIDHISHE HAWA HUA HAWAELEWEKI


Kwishaaaaa
 
Mbona NMB tunachukua mpaka milioni bila dhamana! Na riba yake ni ndogo kuliko akina Songesha, M PAWA na mgodi. Mfano mara ya mwisho nimechukua 390,000 kasoro na riba yake haikufika 40,000.
Na wale hawapigi simu wala meseji za usumbufu kama wa wale wahuni wa mtandaoni. Hata ukichelewesha siku 1 hawakupigi penalti.
Hao nmb kuna kitu wamekiona kwako kwamba pesa yao wataipata tu.
Narudia:Benki haiwezi kumpa mtu pesa kienyeji,
Bank never loose
 
Hao nmb kuna kitu wamekiona kwako kwamba pesa yao wataipata tu.
Narudia:Benki haiwezi kumpa mtu pesa kienyeji,
Bank never loose
NMB toka mwaka juzi sijui tunachukua MSHIKO FASTA, ila sio wateja wote, ni wale wanaofanya miamala ya mara kwa mara na uwe unalipa kwa wakati. Nina mwaka wa tatu nakopaga tu nikiwa na dharura.
 
NMB toka mwaka juzi sijui tunachukua MSHIKO FASTA, ila sio wateja wote, ni wale wanaofanya miamala ya mara kwa mara na uwe unalipa kwa wakati. Nina mwaka wa tatu nakopaga tu nikiwa na dharura.
Utalatibu ukoje kiongozi jinsi ya kukopa nmb maana ninayo account ila na mda sijatumia kwenye pesa vp naweza kupata mkopo
 
WAKUU kweli sisi ni NDUGU na tunaishi kama famila? Mbona hatuambiani madili kama haya. Inasemekana haitaji uwe na kiwanja au dhamana yoyote ni wewe na simu yako tu. Unavuta hadi milioni Tano, Na watu hata hamsemi imenisikitisha sana. Acheni roho mbaya tupeni utaratibu.



Kwishaaaaa
Ukiitiwa fursa wewe ndio fursa yenyewe
 
Ukiitiwa fursa wewe ndio fursa yenyewe
Nmejaribu kufuatilia huo mkopo, sizani kama una utofauti na kausha damu. Marejesho ni kwa mwezi mmoja tu, yani siku 30. Nikahairisha kuendelea na utaratibu. Ila kama hali itaendelea kuni taiti no way out tutajuananao hukohuko.


Kwishaaaa
 
Back
Top Bottom